PistolGang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2013
- 392
- 44
Habarini wakuu!,
Matumaini yangu mpo wazima. Aisee, mimi naombeni ushauri na ujuzi juu ya biashara ya uuzaji wa magazeti mbalimbali ya kitanzania toka global publisher na kampuni zingine toka apo dar nami nipo singida vijijini..
1. Naomba kujua faida yake huwa inapatikanaje
2. Usafiri huwa upo vipi
3. Makubaliona na mawakala wakuu huwa vipi.
Nitashukuru kwa mawazo nitayopata toka kwenu, kwani nataka nijaribu biashara hiyo sababu eneo nililopo idadi ya watu ni kubwa ila hakuna huduma kama hiyo.
Matumaini yangu mpo wazima. Aisee, mimi naombeni ushauri na ujuzi juu ya biashara ya uuzaji wa magazeti mbalimbali ya kitanzania toka global publisher na kampuni zingine toka apo dar nami nipo singida vijijini..
1. Naomba kujua faida yake huwa inapatikanaje
2. Usafiri huwa upo vipi
3. Makubaliona na mawakala wakuu huwa vipi.
Nitashukuru kwa mawazo nitayopata toka kwenu, kwani nataka nijaribu biashara hiyo sababu eneo nililopo idadi ya watu ni kubwa ila hakuna huduma kama hiyo.