Ufafanuzi juu za shutuma ya DStv kurusha vipindi vinavyohamasisha ushoga

Ufafanuzi juu za shutuma ya DStv kurusha vipindi vinavyohamasisha ushoga

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Tafadhali tuwekane sawa, DStv haijihusishi na kurusha maudhui yasiyofaa katika jamii. Malalamiko haya yanatakiwa kupelekwa moja kwa moja kwenye channel husika. DStv wanarusha channels tofauti, sio kosa lao pale yanapotokea mambo ambayo yanahusiana na maudhui mabaya.

Kinachotakiwa kufanyika, pale tatizo hilo linapotokea ni DSTv kuelezwa kuwa channel fulani inarusha maudhui mabaya ili wachukue hatua dhidi ya channel hiyo. DStv wangepaswa kupokea shutuma ikiwa channel hiyo ni mali yao wenyewe.

Kitendo cha kushutumu DStv ni uonevu juu yao kwasababu wao hawatengenezi vipindi katika channels ambazo hawamiliki wao. Swala la shutuma ya vipindi vinavyosambaza ushoga lilitakiwa kupelekwa moja kwa moja Nickelodeon Channel, DSTv wao walipaswa kupewa taarifa kuwa channel fulani imekosea hapa na pale ili wachukue hatua.
 
Tafadhali tuwekane sawa, DSTv haijihusishi na kurusha maudhui yasiyofaa katika jamii. Malalamiko haya yanatakiwa kupelekwa moja kwa moja kwenye channel husika. DSTv wanarusha channels tofauti sio kosa lao pale yanapotokea mambo ambayo yanahusiana na maudhui mabaya. Kinachotakiwa kufanyika, pale tatizo hilo linapotokea ni DSTv kuelezwa kuwa channel fulani inarusha maudhui mabaya ili wachukue hatua dhidi ya channel hiyo. DSTv wangepaswa kupokea shutuma ikiwa channel hiyo ni mali yao wenyewe. Kitendo cha kushutumu DSTv ni uonevu juu yao kwasababu wao hawatengenezi vipindi katika channels ambazo hawamiliki wao. Swala la shutuma ya vipindi vinavyosambaza ushoga lilitakiwa kupelekwa moja kwa moja Nickelodeon Channel, DSTv wao walipaswa kupewa taarifa kuwa channel fulani imekosea hapa na pale ili wachukue hatua.

Kwani hamna lolote la kusema kuliko tozo?
 
Kumbukeni hao wanafanya biashara na wanaangalia market,inawezekana sisi Watanzania hatupendi lakini kuna wateja wao wengine katika Nchi zingine wanapenda.
 
Tafadhali tuwekane sawa, DSTv haijihusishi na kurusha maudhui yasiyofaa katika jamii. Malalamiko haya yanatakiwa kupelekwa moja kwa moja kwenye channel husika. DSTv wanarusha channels tofauti sio kosa lao pale yanapotokea mambo ambayo yanahusiana na maudhui mabaya. Kinachotakiwa kufanyika, pale tatizo hilo linapotokea ni DSTv kuelezwa kuwa channel fulani inarusha maudhui mabaya ili wachukue hatua dhidi ya channel hiyo. DSTv wangepaswa kupokea shutuma ikiwa channel hiyo ni mali yao wenyewe. Kitendo cha kushutumu DSTv ni uonevu juu yao kwasababu wao hawatengenezi vipindi katika channels ambazo hawamiliki wao. Swala la shutuma ya vipindi vinavyosambaza ushoga lilitakiwa kupelekwa moja kwa moja Nickelodeon Channel, DSTv wao walipaswa kupewa taarifa kuwa channel fulani imekosea hapa na pale ili wachukue hatua.
Wapeleke TCRA, yaani peleka malalamiko yako TCRA huko yatashughulikiwa vilivyo kwani huyo ndiye aliyewapa leseni!
 
Hii channel ya katuni ya shetani Nickledon ililalamikiwa hata na taasisi za kidini ulimwengu kwamba unapromote ushoga, hivyo wazazi wawe makini na katuni wanazoangalia watoto. Mzazi ukiweza ziblock channel zote za katuni kisha download katuni za kufundishia kama cocomelons, Adam and ava, masha and the bear, nk, unakuwa unawawekea flash. Hizi katuni kama spider man, scooby doo, university monster, nk hizi ni za kipepo lengo kuu ni kuharibu akili za watoto ikiwemo kuwapandikizia roho chafu zitakazokuja haribu maisha yao
 
Hii channel ya katuni ya shetani Nickledon ililalamikiwa hata na taasisi za kidini ulimwengu kwamba unapromote ushoga, hivyo wazazi wawe makini na katuni wanazoangalia watoto. Mzazi ukiweza ziblock channel zote za katuni kisha download katuni za kufundishia kama cocomelons, Adam and ava, masha and the bear, nk, unakuwa unawawekea flash. Hizi katuni kama spider man, scooby doo, university monster, nk hizi ni za kipepo lengo kuu ni kuharibu akili za watoto ikiwemo kuwapandikizia roho chafu zitakazokuja haribu maisha yao
Unawafungia kwenye vipindi vya Tv wanarudi kwenye simu
 
Dstv sio chanels sio cha kuwa nacho ktk familia kabosa, bora uwe na Azam au Star times
 
Mbona wanafosi ushoga usambae kiasi hiki. Wanaanzia chini kabisa kushawishi watoto ushoga ni kawaida.

"You can become what you see"
Kamsemo kao kakichoko baada ya kuwapa lecture wanetu ukizingatia mtoto anakuwa makini Sana akiwa anatizama Makatuni shoga😎
 
Tafadhali tuwekane sawa, DSTv haijihusishi na kurusha maudhui yasiyofaa katika jamii. Malalamiko haya yanatakiwa kupelekwa moja kwa moja kwenye channel husika. DSTv wanarusha channels tofauti sio kosa lao pale yanapotokea mambo ambayo yanahusiana na maudhui mabaya. Kinachotakiwa kufanyika, pale tatizo hilo linapotokea ni DSTv kuelezwa kuwa channel fulani inarusha maudhui mabaya ili wachukue hatua dhidi ya channel hiyo. DSTv wangepaswa kupokea shutuma ikiwa channel hiyo ni mali yao wenyewe. Kitendo cha kushutumu DSTv ni uonevu juu yao kwasababu wao hawatengenezi vipindi katika channels ambazo hawamiliki wao. Swala la shutuma ya vipindi vinavyosambaza ushoga lilitakiwa kupelekwa moja kwa moja Nickelodeon Channel, DSTv wao walipaswa kupewa taarifa kuwa channel fulani imekosea hapa na pale ili wachukue hatua.
UAE wameweza kuzuia channel zinazokiuka maadili Yao. Huku Njaa ndio kikwazo. Unaweza kukuta maafisa wapo kwenye payroll ya hao wauza ving'amuzi kila mwisho wa mwezi anawekewa 10m kwenye akaunti utaongea nn? Vijana wadogo wanaporomosha majumba Mbweni. Hao ndo wanatufanya tuonekane wavivu
 
Dear Parents/Guardians.

This is to bring to your notice that the cartoon channel Nickelodeon with effect from yesterday Saturday 20th August, 2022 has started showing gay couple on one of their series called The Loud House.

*Please let's always check on what our children are watching God bless us all ...I received this and checked online. .it's true!

Nickelodeon the Children's channel is currently running a cartoon series to promote Homosexuality among children

The title of the ;cartoon is "Loud House". ;

In 2014 they produced a cartoon titled "The Legend of Korra" to promote bisexuality.

The series is the first Nickelodeon show in history to feature a married same-sex couple.

The decision to feature a married same-sex couple on a children’s program is reported to have met with an overwhelming positive reactions.

Who knows what will be produced next!

BEWARE of what you have in your house that could be leading your children astray.

KNOW THE KIND OF CARTOONS YOUR CHILDREN WATCH.

PLEASE BLOCK THIS CHANNEL OR PREVENT YOUR CHILDREN FROM WATCHING THIS!!!
SHARE THIS PLS!!

THIS IS HOLIDAY PERIOD AND WE NEED TO BE VIGILANT
 
Fanya uamuzi wa ku block hiyo nickelodeon, tia parental control
 
hawahusiki vipi wewe kiazi wa dstv, yaani mrushe michaneli ya kuhamasisha ushoga na usagani then watu wawahurumie tu? acheni udwanzi
 
Back
Top Bottom