Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

Ni propaganda zisizo na maana zinazo lenga kuwatapeli watumishi.
Kulingana na lif𝕖 span unajuaje kwamba nitaishi miaka mingi kwa nini ujitie kihelehele cha kunitunzia pesa na hali wewe huna mawsiliano na Mungu anae nipa uhai?
kama kikokotoo ni kizuri kwa nini kimuathili mtumishi wa kawaida na kisitumiwe hikohiko kwa kundi la wana siasa na watala?
β„•π•ͺπ•’π•žπ•’π•«π•’ π•¦π•€π•šπ•₯𝕦π•₯π•šπ•– π•žπ•’π•”π•™π•¦π•Ÿπ•˜π•¦, π•₯π•¦π•žπ•–π•ͺπ•’π•‘π• π•œπ•–π•’ π•œπ•¨π•’ 𝕀𝕒𝕓𝕒𝕓𝕦 𝕙𝕒π•₯π•¦π•Ÿπ•’ π•žπ•₯𝕦 𝕨𝕒 π•œπ•¦π•₯𝕦π•₯𝕖π•₯𝕖𝕒 π•π•’π•œπ•šπ•Ÿπ•š π•€π•šπ•  π•œπ•¨π•’π•žπ•“π•’ 𝕙𝕒π•₯π•¦π•Ÿπ•’ 𝕦𝕖𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕨𝕒 π•›π•’π•Ÿπ•›π•’ π•›π•’π•Ÿπ•›π•’ π•šπ•Ÿπ•’π•ͺ𝕠 π•–π•Ÿπ••π•–π•π•–π•’, π•₯π•¦π•Ÿπ•’π•Ÿπ•ͺπ•’π•žπ•’π•«π•’ π•œπ•¨π•’ 𝕀𝕒𝕓𝕒𝕓𝕦 π•₯𝕦 𝕙𝕒π•₯π•¦π•Ÿπ•’ 𝕦𝕨𝕖𝕫𝕠 𝕨𝕒 π•œπ•¦π•‘π•’π•«π•’ 𝕀𝕒𝕦π•₯π•š π•Ÿπ•’ π•œπ•¨π•’ 𝕀𝕒𝕓𝕒𝕓𝕦 π•™π•¦π•œπ•¦ π•₯π•¦π•π•šπ•‘π•  π•₯𝕦𝕑𝕠 π•šπ•π•š π•œπ•¦π•‘π•’π•₯𝕒 π•žπ•œπ•’π•₯𝕖 𝕨𝕖π•₯𝕦 𝕨𝕒 π•œπ•šπ•π•’ π•€π•šπ•œπ•¦
 
Huu ni uchafu...
poor management ya hela za wanachama ndio kilichotokea kusababisha mifuko kupumulia mashine. Hela zilifanywa shamba la bibi kila serikali ilichotea na mifuko ikafanya ufisadi wa kutisha kupitia miradi ambayo haitakaa irudishe hela mpaka Yesu anarudi duniani.
Sheria ibadilike kuruhusu soko huru la mifuko ya hifadhi na mifuko ya private ifunguliwe ili wafanyakazi tuhamie kwenye mfuko unaojali wanachama wake, sio hii ya sasa inayochuma hela za watu na kisha kuhakikisha unapata kiduchu ufe zako mfuko usilipe tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…