Ufafanuzi kuhusu redbull

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Jamani naomba kujuzwa kuhusu faida za redbull kiafya na utofauti wake na energy drinks.
 
Vinywaji vya viwandani vimewahi kuwa na faida mwilini?
Mkuu kuna kinywaji kisichogusa kiwanda kwa sasa kweli?.... hata ukitengeneza juice ya tunda nyumbani utakuta mkulima aliweka mbolea na madawa ya kufanya tunda liive mapema....ni shida sana kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…