T Tyler New Member Joined Dec 24, 2021 Posts 4 Reaction score 0 Apr 12, 2022 #1 Nauliza inawezekana Kuunda kikundi cha watu kiwe kama club Kwa ajili ya kutoa elimu ya Maisha Kwa wanafunzi mashuleni na kisiwe kama foundation au NGO
Nauliza inawezekana Kuunda kikundi cha watu kiwe kama club Kwa ajili ya kutoa elimu ya Maisha Kwa wanafunzi mashuleni na kisiwe kama foundation au NGO
trem JF-Expert Member Joined Sep 19, 2014 Posts 340 Reaction score 201 Apr 16, 2022 #2 Inawezekana kabisa
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 16, 2022 #3 Ngoja waje kukupa muongozo...
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Apr 16, 2022 #4 Kama kitafanya kazi ndani ya wilaya husika andaeni katiba kisha mtaenda serikali za mitaa kisha kwa afusa maendeleo ya jamii wa halmashauri husika kwaajili ya kusajiriwa...kila la kheri kwenu. #MaendeleoHayanaChama
Kama kitafanya kazi ndani ya wilaya husika andaeni katiba kisha mtaenda serikali za mitaa kisha kwa afusa maendeleo ya jamii wa halmashauri husika kwaajili ya kusajiriwa...kila la kheri kwenu. #MaendeleoHayanaChama