Mfanyakazi hawezi kulazimishwa kuchangia Mchango wowote ambao haujatambuliki kisheria. Makato ya kisheria ni PAYE, mifuko ya jamii(PPF, pspf, lapf, NHIF ) . makato mengine kama yale ya vyama vya wafanyakazi lazima ujaze fomu na. 6 kuidhinisha mwajiri wako akate toka kwenye mshahara wako vinginevyo akikata kabla hujajaza hiyo form unaweza kumshitaki kwenye MAHAKAMA ya kazi na ataamuliwa kurejesha fedha aliyokukata na gharama ulizotumia ktk shauri.
Mchango wa mwenge ni hiari yako .sasa waajiri huwa wanatisha watummish