hiki ndicho kitu watanzania wengi tunakikosa,hata kutumia elimu ya darasa la tatu au la nne kama sikosei...Big up mkuuMkuu hizo ni dhana tu za kutiana uoga na hazina ukweli na haijathibitishwa popote na serikali kama kuna hatari ya kwa hiyo kiumbe.
Kwa kitaalamu huyo kiumbe anaitwa spalgis epius hapo akiwa kwenye stage ya pupa kabla ya kuwa kipepeo kamili na huwa wanatumika kama predator ( of scale insects) kwa wadudu waharibifu wanakula eidha hizo mbogamboga au mapapai.
Kwa taarifa zaidi unaweza uka google na kupata taarifa zake kamili ila hana athari kama zinavyosemwa na huyo aliyetuma .
Hawa watu mbona wanakuwa kama wana Stevens Johson syndrome,wanatakapotumia anti histamine mbona hali inaimalika bila shida unless kama shida itakuwa much severe.Kitambo kidogo kiasi cha wiki mbili sasa nimekuwa nikitumiwa picture hizi za mdudu huyu na hata nikipita pita kwenye mitandao ya kijamii nimekuwa nikikutana nazo sana zikiwa na tahadhari kwamba ni mdudu hatari sana kwa binaadamu,naomba wataalamu walifafanue hili kweli mdudu huyu ni hatari kiasi cha kusababisha kifo?hawa wawili wanadaiwa kuathiriwa na sumu yao nawasilisha.
Shukrani chief @RMbuna,hapa sasa nimeelewa.Mkuu hizo ni dhana tu za kutiana uoga na hazina ukweli na haijathibitishwa popote na serikali kama kuna hatari ya kwa hiyo kiumbe.
Kwa kitaalamu huyo kiumbe anaitwa spalgis epius hapo akiwa kwenye stage ya pupa kabla ya kuwa kipepeo kamili na huwa wanatumika kama predator ( of scale insects) kwa wadudu waharibifu wanakula eidha hizo mbogamboga au mapapai.
Kwa taarifa zaidi unaweza uka google na kupata taarifa zake kamili ila hana athari kama zinavyosemwa na huyo aliyetuma .
Wewe ni muongo geita sehemu gani mbona mimi nipo geita sijasikia wala kuona?nipo naishi hapa karibu na desire park!Wako geita wanatoa adhabu kwa raia mkuu
Swissme
Yaani kila mtu mtaani anamzungumzia anavyojua yeye,kinachotisha zaidi wengine wanasema ana sumu kali kama ya nyoka.ila hapa naamini wataalam watatutoa mashaka.Amezua taharuki sana, kiasi watu hatuna raha na ulaji wa mboga za majani. isije kuwa kama propaganda za dengue