Wale waarabu wamechoka sanaa khaaaa.....wanatoka vijijiniWaarabu mliowafunga ni toleo la mwisho kabisa, punguzeni kelele na nyie
Makolo Baada ya kuifunga goli MOJA timu mbovu wameanza kupiga kelele mara ooh tumewafunga waarabu kwao .....
Kiuhalisia ....Simba wamewafunga waarabu Koko ( toleo la mwisho) sio pure waarabu View attachment 3194054
Ukikutana na binti anasema hivi utamwambia nini?What does it mean
Hahaha.Ntamuuliza " how have u been impregnated???
Ambao wamewahi kuwa mabingwa michuano hiyo mara 3 na wakishiriki fainali 4Waarabu mliowafunga ni toleo la mwisho kabisa, punguzeni kelele na nyie
Makolo Baada ya kuifunga goli MOJA timu mbovu wameanza kupiga kelele mara ooh tumewafunga waarabu kwao .....
Kiuhalisia ....Simba wamewafunga waarabu Koko ( toleo la mwisho) sio pure waarabu View attachment 3194054