Rage typing and delete😂Kweli Yanga wenye akili ni wawili tu
Basi kama siyo waarabu tuseme ni wamanga!Wale sio waarabu mzee
Walipigwa vice!!Team hata pasi mbili haiwezi kupiga 😂😂
Baba yako ni Simba damuu, ila ongea nae huyu aliekulea.Kivp mkuu
Waburushi si waarabu. Ni wapakstani hao.Product ya mwisho ya waarabu ( waburushi
Hiyo timu mda wote wanapiga ramli huku wakikunja vidole.
Ndio nakuambia huyo sio Baba yako huelewi tuu.Hakunaga kolo.....ukoo wangu huu