Ufafanuzi tafadhali.

Hapa kikubwa huwa ni vigezo vya mtu alivyo jiwekea kwa mtu anaye mtaka katika kuanza maisha ya pamoja, mfano Kuna wanaume wengi sana wasomi wa vyeti ambao wanatamani kupata mwanamke anaejua kusoma na kuandika tu lakini ajabu anakuja kuwa zaidi hata ya vile ambavyo alimtarajia

1. Anakuwa mtu mwenye kukupa mawazo ya usubutu kufanya mambo ya maendeleo
2.Risk taker pasi kujua hata ana fanya hivyo as if ni msomi
3.Ustarabu(civilization) Kama tunavyo jua hapo awali kulikuwa na jando na unyago kwa jinsia zote mbili na dhumuni kuwa Sana ya hivi vitu kwa sisi tuliobahatika kupitia tulikuwa tukiaswa Sana juu ya Mambo mengi sana ya kimaisha hasa unapo kwenda mbali na wazazi wako, kuishi vizuri Sana na watu.....n.k

Hivyo basi Hilo neno "educated" kwangu mm binafsi naliona kama tu ni maarifa madogo tu ambayo mtu unatakana uwe nayo ili kumudu kuchanganua mambo mbalimbali

UKIWEZA KUWA HIVYO UTAMVUTIA KILA MWANAUME AU MWANAMKE NA HILO NENO EDUCATED LITAHUSIKA PIA
 
me nadhani kila mwanamke ana "educated man wake" ni vile yeye anavyomdifaini
I think this is the realest explanation.

Huyu Daby inabidi aelewe hiki.

For some reason I am never attracted to Accountants.... But Doctors and I click every time. We could talk for hours and argue alot about stuff.
 
Mbona kama una majibu yako tayari lakini hutaki kusikia ya kwangu?
Daby unatafuta mke kwani?
Mwali umeanza kuuliza maswali kweli?

Nimeuliza umeolewa dada?
 
Nimeelewa saana mkuu.

Bila shaka wewe utakuwa unaenda nao sambamba.

Ila wengi wamekuwa wakiwabagua uliowataja kisa tu hawajavuka vidato...kuna la kujifunza kwenye bandiko lako.
 
I think this is the realest explanation.

Huyu Daby inabidi aelewe hiki.

For some reason I am never attracted to Accountants.... But Doctors and I click every time. We could talk for hours and argue alot about stuff.
Umeshaanza kuniacha Karucee pale juu tumekubaliana any smart man...

Now waniambia Accountants hola kwako.

Sasa hapa ndipo ninapopotea...mfano nikiona mdada kaweka bandiko la educated man kama kigezo love connect huwa nasita kwenda.

Kwasababu hizi hizi.
 
Wakike mje kujibu huku maana naona mpo wachache mmechangia tujue kabisa Kama tuanze kurudi kurisiti au memkwa au tuhairishe
Tusubiri mwaafaka mkuu. Tunza vyeti vyako kama bado haujaoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…