uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 514
Habari zenu,
Natumai tupo poa. Naomba ufafanuzi wa Toyota Harrier yenye injini model no. MCU30 kuwa na injini capacity 2490 nimeiona mahala. Kwa sababu nimezoea kuziona Toyota Harrier za 2AZ ambayo inakuwa na cc 2360 na 1MZ inakuwa na cc 2990 (nirekebishwe kama nimekosea).
Nimekutana na hii niliyoiandika hp juu. Hii yawezekana au ilikosewa kadi wakati wa kuiandika? Naambatanisha na kipande cha picha ya kadi ua usajili. Nilifuatilia na kuiona kadi yote original (Paper). Wajuzi wa magari hii ipo kweli?
Natumai tupo poa. Naomba ufafanuzi wa Toyota Harrier yenye injini model no. MCU30 kuwa na injini capacity 2490 nimeiona mahala. Kwa sababu nimezoea kuziona Toyota Harrier za 2AZ ambayo inakuwa na cc 2360 na 1MZ inakuwa na cc 2990 (nirekebishwe kama nimekosea).
Nimekutana na hii niliyoiandika hp juu. Hii yawezekana au ilikosewa kadi wakati wa kuiandika? Naambatanisha na kipande cha picha ya kadi ua usajili. Nilifuatilia na kuiona kadi yote original (Paper). Wajuzi wa magari hii ipo kweli?