Ufafanuzi uliotolewa na uongozi wa Simba

changaule

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2020
Posts
6,039
Reaction score
10,151
Baada ya Taarifa ya jana kutoka tume ya ushindani kuwa uongozi wa Simba ndio wanaochelewesha mchakato wa mabadiliko, leo uongozi wa Simba wamekuja na majibu.

 
#8[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo mnahujumiwa wa FCC
 
Kina hamisi kigwa waliona mbali sana na wakasema wazi. Nyie mbumbu hamkusikia ..

Acha mwamedi awapige mnazani ndugu yenu yule ..

Ukimind tupigane
 
Kina hamisi kigwa waliona mbali sana na wakasema wazi. Nyie mbumbu hamkusikia ..

Acha mwamedi awapige mnazani ndugu yenu yule ..

Ukimind tupigane

Soma between the line kwa kilichoandikwa usiaibike.

Aya #19 kwenye huo ufafanuzi ina majibu yako.
 
Soma between the line kwa kilichoandikwa usiaibike.

Aya #19 kwenye huo ufafanuzi ina majibu yako.
Tusizunguke sanaa
Pesa ipo ama haipo? Kama imewekwa kiasi gani?.

Na kama bado je itawekwa lini?
Ni nini kinakwamisha mchakato huo mpka sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…