Ufafanuzi unahitajika kutoka kwa wataalamu

pepim

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
335
Reaction score
52
Poleni na majukumu ya hapa na pale wanajf wenzangu.
Naomba ufafanuzi katika hili jambo kwa wale wanaofahamu tu, kama hujui ni bora ukae kimya utaonekana unajua..
Ni hivi jamani, eti inakuwaje mtu(me au ke) anakosa hamu ya kufanya mapenzi? Je inawezekana haridhishwi? Au kuna sababu za kibailojia/kisaikolojia/kimazingira? Au ndio maji yameanza kubadili mkondo?
Msaada wa ufafanuzi jamani katika hili.
 
Yote uliyoyataja inawezekana! Especially biological changes ndani ya mwali (umri,ugonjwa,stress ni mifano mizuri)!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…