Ufafanuzi wa kina kuhusiana na Serikali kufungia Makanisa yasiyokidhi viwango vya kutoa huduma za kiroho

Ufafanuzi wa kina kuhusiana na Serikali kufungia Makanisa yasiyokidhi viwango vya kutoa huduma za kiroho

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Tukianza na Kiboko ya Wachawi ufafanuzi wake ni kuwa Serikali haijakosea kufunga huduma bali mafundisho yake hayana staha
Kosa lake kubwa ni kutumia mgongo wa Shetani kwa lengo la kujipatia fedha badala ya kufundisha habari za Mungu

Kutumia mgongo wa Shetani kwa maana ya kuzungumzia machafu ya Shetani ikiwemo maswala yanayohusiana na ushirikina ili kupata muitikio mkubwa

Anahitaji kupata elimu ya Dini ili aweze kueneza habari za Mungu kwa wanadamu badala ya kutengeneza mtafaruko

Mara nyingi hili kosa linafanywa na Wachungaji wengi wanasahau kueneza mema ya Mungu badala yake wanazungumzia machafu ya Shetani

Hii ni sawa na mwanachama wa CCM kuacha kuzungumzia chama chake na kuzungumzia machafu ya chama pinzani jambo ambalo halina faida katika chama chake na tafsiri yake ni sawa na mtu aliyeishiwa sera au ushawishi katika chama chake kwahiyo anaamua kuzungumzia madhaifu ya chama pinzani

Siku hizi mahubiri yote yanamnyooshea Shetani kidole mema ya Mungu hayasemwi tena bado wapo kwenye ile kesi ya zamani ya Mungu na Shetani, ilikuwa ni ya zamani sana sidhani kama Mungu anapenda kugombana kila wakati
1000008075.jpg
 
Yule jamaa alikuwa msanii Sana. Ukiangalia kwa jicho la tatu , wale wote alikuwa anawatolea inabidi walikuwa kwenye payroll yake. Eti mke na Mme wanaokuja kumuona nabii eti pesa zao zinaibiwa hawajui nani mwizi, halafu wakifika kwa Nabii , Nabii anamuumbua mume kuwa ndio mwizi, halafu mume anagomba msamaha. Ni script tu anacheza.
 
Watanzania tunapenda kitonga, hivi kwa akili za kawaida pale kulikuwa na mchungaji kweli??
 
Yule jamaa alikuwa msanii Sana. Ukiangalia kwa jicho la tatu , wale wote alikuwa anawatolea inabidi walikuwa kwenye payroll yake. Eti mke na Mme wanaokuja kumuona nabii eti pesa zao zinaibiwa hawajui nani mwizi, halafu wakifika kwa Nabii , Nabii anamuumbua mume kuwa ndio mwizi, halafu mume anagomba msamaha. Ni script tu anacheza.
😂😂😂😂😆😆😆
 
Ndiyo maana nawapenda mno Wanajeshi wangu Museveni na Kagame wao walisema wakiwakuta Wanawaua wote.
PK huwa aendekezi huu ujinga ujinga tunaoukumbatia hapa bongo. Yaani hata wale Q-NET aliwapiga red card mapema sana, hawatokuja kukanyanga Rwanda labda asiwepo tena.
 
PK huwa aendekezi huu ujinga ujinga tunaoukumbatia hapa bongo. Yaani hata wale Q-NET aliwapiga red card mapema sana, hawatokuja kukanyanga Rwanda labda asiwepo tena.
IQ Kubwa ya Paul Kagame kamwe huwezi Kuikuta kwa Viogozi wa Tanzania na ndiyo maana Rwanda yake inatuacha.
 
nabii mchawi alikuwa wa kufukuzwa nchini, uhamiaji sijui huwa wanafanya kazi gani hapa nchini kama sio kuchunguzana deport hawa watu.
 
Tukianza na Kiboko ya Wachawi ufafanuzi wake ni kuwa Serikali haijakosea kufunga huduma bali mafundisho yake hayana staha
Kosa lake kubwa ni kutumia mgongo wa Shetani kwa lengo la kujipatia fedha badala ya kufundisha habari za Mungu

Kutumia mgongo wa Shetani kwa maana ya kuzungumzia machafu ya Shetani ikiwemo maswala yanayohusiana na ushirikina ili kupata muitikio mkubwa

Anahitaji kupata elimu ya Dini ili aweze kueneza habari za Mungu kwa wanadamu badala ya kutengeneza mtafaruko

Mara nyingi hili kosa linafanywa na Wachungaji wengi wanasahau kueneza mema ya Mungu badala yake wanazungumzia machafu ya Shetani

Hii ni sawa na mwanachama wa CCM kuacha kuzungumzia chama chake na kuzungumzia machafu ya chama pinzani jambo ambalo halina faida katika chama chake na tafsiri yake ni sawa na mtu aliyeishiwa sera au ushawishi katika chama chake kwahiyo anaamua kuzungumzia madhaifu ya chama pinzani
View attachment 3055287
Hao waamini wa Kiboko ya wachawi wana matatizo ya afya ya akili ,Kiboko ni Pure TAPELI.
 
Back
Top Bottom