Ufafanuzi wa kinga za mwili

Ufafanuzi wa kinga za mwili

jamesemm

Senior Member
Joined
Dec 24, 2024
Posts
116
Reaction score
105
Habari wa kuu! Samahani nina jambo huwa linanipa Shaka kwenye mwili wangu je ni kinga kuwa nyingi au kuna kitu kinaendele. Mwilini mwangu sina chanjo yoyote na sijawahi kuchomwa sindano ya dawa yoyote lbda ya ganzi wakati natoa jino. Pia naweza kukaa miaka 7 sijaumwa zaidi ya mafua tu na nikiumwa mafua wiki haiishi nishapona.pia nikijikata au nikiwa na kidonda cha kawaida siku tatu haziishi nishapona yani kimejifunga.ugonjwa wowote wa mlipuko sijawahi kuumwa.kila siku ya Mungu mwili wangu unatanuka nakuwa jitu lenye mbavu tena nikifanya mazoezi ndo hatari zaidi mwili unatanuka .je hili ni tatizo au nini kinaendelea maana napata hofu
 
shukuru mungu mkuu wndelea kuishi hata akilini mwako tengeneza furaha yako.....futa maswali unaojiuliza sasa hivi sababu unavuta magonjwa kwa haya mawazo yako ya je unashida ukiwa hauumwi kivipi mkuu .....usiombe kudhoofika mwili mkuu
 
shukuru mungu mkuu wndelea kuishi hata akilini mwako tengeneza furaha yako.....futa maswali unaojiuliza sasa hivi sababu unavuta magonjwa kwa haya mawazo yako ya je unashida ukiwa hauumwi kivipi mkuu .....usiombe kudhoofika mwili mkuu
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom