Ufafanuzi wa kisheria watolewa kufuatia kujiondoa kwa Jaji Elinaza Luvanda kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi wa Freeman Mbowe na wenzake..

Ufafanuzi wa kisheria watolewa kufuatia kujiondoa kwa Jaji Elinaza Luvanda kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi wa Freeman Mbowe na wenzake..

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Kufuatia kujitoa kwa Jaji Elinaza Luvanda anayesikiliza shauri linalowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndugu Freeman A. Mbowe na wenzake watatu katika kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi iliyoko mahakamu kuu DSM, baada ya mshitakiwa namba 3 Freeman Mbowe kuonesha "kutokuwa na imani" naye, wengi tumekuwa tukitoa maoni yetu hewani bila kuwa na reference ya kisheria.

Katika video hii, mawakili wa mahakama kuu wasomi ndugu Peter Madeleka na Fatuma Karume wanatupa ufahamu wa kisheria jinsi mambo yalivyo na baada ya kuwasikiliza, kila mtu awe huru kutoa maoni yake sasa iwapo ilikuwa ni halali kwa Jaji huyu kujitoa au vinginevyo.

 
Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
 
Mtafungwa tu nyie. Ni suala la muda. Mnaleta ukanjanja kwenye weledi. Subiria uone. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
 
Mahakama Kuu ina Hiyari (may) ikiongozwa na busara ili haki ionekane inatendeka, hati ya mashtaka ikiwa na dosari au mbovu mtuhumiwa anatakiwa kuachiwa huru.

Huu uzi ni muhimu sana kwetu sisi maamuma kuelewa kama mwenendo wa kesi unaonesha kutenda haki kwa upande wa utetezi (mtuhumiwa) na upande wa mashtaka (Jamhuri) hivyo Jaji anatakiwa kutumia busara ili muenendo wa kesi uonekane kutenda haki kwa pande mbili.
 
Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
pumba
 
6 Sept 2021

Mhe. Tundu Lissu azungumzia Jaji Elinazer Luvanda kujitoa kusikiliza kesi ya Mhe. Freeman Mbowe



Mhe. Tundu Lissu azungumzia kesi inayomkabili Mhe. Freeman Mbowe ya ugaidi na uhujumu uchumi na kujiondoa kwa Jaji Elinazer Luvanda kutoka kwa kesi hiyo.
Source : Mwanzo TV
 
Nini kifanyike kuondoa kesi za kubambikwa?
Cha kufanya ni Mbowe akimaliza kifungo chake cha miaka 30 jela atakayohukumiwa, aache kabisa ugaidi pamoja na wafuasi wake. Akifanya hivyo hakuna atakayemfungulia kesi tena ya ugaidi.
 
Kwa vijana wa Chadema, Jaji kujitoa kwenye kesi wanafikiri is a big deal, lakini kumbe ni jambo la kawaida kabisa. Nina rafiki yangu hapa Mwanza ana kesi na mimi ndie mshauri wake kwenye hiyo kesi na wote hatujasomea sheria na hatujui sana sharia, lakini juzi tumepeleka hoja ya kutokuwa na imani na Hakimu na Hakimu amejitoa temepangiwa Hakimu mwingine.
Tumia akili Sasa weye!Kama siyo "big deal",weye na jamaa yako mliona hamna Imani na "mwamuzi" kwa nini?Na mlivyokubaliwa bado ikawa bado siyo "big deal"?
 
6 Sept 2021

Mhe. Tundu Lissu azungumzia Jaji Elinazer Luvanda kujitoa kusikiliza kesi ya Mhe. Freeman Mbowe



Mhe. Tundu Lissu azungumzia kesi inayomkabili Mhe. Freeman Mbowe ya ugaidi na uhujumu uchumi na kujiondoa kwa Jaji Elinazer Luvanda kutoka kwa kesi hiyo.
Source : Mwanzo TV

Nafkiri swala la mikutano, wangeheshimu huo wito wa kukutana ma IGP na msajili, kwani unaposema sheria imesema mnapeleka taarifa kwa ocd ni ili kurahisisha mchakato tu lakininuhalisia OCD yupo chini ya RPC na RPC yupo chini ya IJP, hivyo ocd akipigwa stop na wakubwa zake hawezi kukiuka maagizo,hivyo ni vyema mkakutana na top bosses ili kutengeneza namna bora/utaratibu kwa nchi nzima.pia kwa nyongeza ya uelewa mwenye mamlaka na utendaji wa jeshi la polisi ni IJP, hayo mengine ni katika kurahisisha taratibu za utendaji kwani huwezi kutegemea kila kibali/barua zote zielekezwe kwa IJP, ndio maana kuna makamishna,rpcs,ocds,rtos etc
 
Kufuatia kujitoa kwa Jaji Elinaza Luvanda anayesikiliza shauri linalowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndugu Freeman A. Mbowe na wenzake watatu katika kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi iliyoko mahakamu kuu DSM, baada ya mshitakiwa namba 3 Freeman Mbowe kuonesha "kutokuwa na imani" naye, wengi tumekuwa tukitoa maoni yetu hewani bila kuwa na reference ya kisheria....

Katika video hii, mawakili wa mahakama kuu wasomi ndugu Peter Madeleka na Fatuma Karume wanatupa ufahamu wa kisheria jinsi mambo yalivyo na baada ya kuwasikiliza, kila mtu awe huru kutoa maoni yake sasa iwapo ilikuwa ni halali kwa Jaji huyu kujitoa au vinginevyo...
View attachment 1927053

Hali hii haina afya na hasa kwa serikali ya SSH na washirika wake:

1. Jaji kakubaliana na upande wa utetezi kuwa hati ya mashtaka ni batili.
2. Jaji badala ya kutumia busara kuonyesha haki inatendeka kachagua kuwa upande wa mashtaka ili walete nyingine.

Effectively kutokea hapo na katika mazingira haya:

3. Mh. Mbowe yuko ndani pasipokuwa na hati ya mashtaka.
4. Mh. Mbowe yuko ndani kinyume cha sheria na kinyume cha katiba.

Mh. Mbowe kamlalamikia jaji "in person" wasiwasi uliopo kuhusiana na kutenda haki yakiwamo anayotuhumiwa nayo jaji huyu:

5. Jaji kakubaliana na hoja za Mh. Mbowe kujitoa.

Katiba inaendelea kusiginwa chini ya macho ya tuliyempa dhamana ya kuhakikisha inalindwa. Yeye mwenyewe akiwa kwenye "tour" kama zilivyo "Tour de France" au "Tour de Rwanda."

Mwendelezo huu wa kubambikiza watu kesi na kuweka majaji mahsusi wa kuhakikisha mahitajio yenu serikali yanatimilika kinyume cha katiba, kunaendeleza kukuzwa kwa chuki baina ya watu na serikali na baina ya watu na watu.

SSH na washirika wako mnako tupeleka siko tulikokubaliana. Kwamba hamuwajibiki kwetu bali mna ajenda zenu zenye maslahi yenu binafsi.

Hali hii bado tu haiwafikirishi?

Cc: Jumbe Brown zandrano
 
Back
Top Bottom