Ufafanuzi wa maneno; state capture na cartels

Ufafanuzi wa maneno; state capture na cartels

PANAFRICA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
337
Reaction score
504
Jana niliiangalia mdaharo wa wagombea wenza kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, kati ya Martha Karua wa vyama vya muungano wa Azimio unaoongozwa Raila Odinga na Gachagua wa muungano wa vyama vya Kenya kwanza unao gozwa na William Ruto.

Katika mdahalo huo yapo maneno yaliyotawala ambayo ni; State capture na Cartels.

Binafsi sikuweza kuyaelewa vizuri kutokanana kizuizi cha lugha iliyotumika.

Naomba wajuvi wa mambo mnifafanulie kuhusu hayo maneno mawili.
 
State capture ni pale watu wachache (Mabilionea) wanakua hawagusiki sababu Wana viongozi wa juu wa serikalini wapo mfukoni mwao. Kwa context ya Kenya kuna wale jamaa wanaitwa Mount Kenya foundation (Ruling Class ya Kikuyu) ambayo imejaa top billionaires wa Kenya kutoka kabila linatowala uchumi tokea uhuru.

Hao members wake watavusha bidhaa kwa magendo, watakwepa Kodi, watafanya ufisadi wa Kila aina ila hawatogusika sababu unakuta Rais wa nchi yupo mfukoni mwao kafuatilie KEMSA au Covid Billionaires scandals utapata picha zaidi.

2. cartels ni magenge whether ya kiuchumi au kiuhalifu yanayofanya njama kuhujumu uchumi au serikali. Kwa context ya Kenya mfano kwenye issue ya mafuta unakuta wamiliki wakija pamoja kupandisha Bei wote kwa mkupuo Ili wapate faida kubwa then hiyo Inakua cartel. Ila kwa picha kubwa zaidi kuna makundi kama hayo Kenya yanayojimilikisha berth za bandarini, Yanapandisha Bei ya vitu vya msingi Ili tu wapige faida kubwa. Serikali inawafahamu ila hauwezi kuwafanya chochote sababu ndio wamewekwa mfukoni.
 
State capture ni pale watu wachache (Mabilionea) wanakua hawagusiki sababu Wana viongozi wa juu wa serikalini wapo mfukoni mwao. Kwa context ya Kenya kuna wale jamaa wanaitwa Mount Kenya foundation (Ruling Class ya Kikuyu) ambayo imejaa top billionaires wa Kenya kutoka kabila linatowala uchumi tokea uhuru.

Hao members wake watavusha bidhaa kwa magendo, watakwepa Kodi, watafanya ufisadi wa Kila aina ila hawatogusika sababu unakuta Rais wa nchi yupo mfukoni mwao kafuatilie KEMSA au Covid Billionaires scandals utapata picha zaidi.

2. cartels ni magenge whether ya kiuchumi au kiuhalifu yanayofanya njama kuhujumu uchumi au serikali. Kwa context ya Kenya mfano kwenye issue ya mafuta unakuta wamiliki wakija pamoja kupandisha Bei wote kwa mkupuo Ili wapate faida kubwa then hiyo Inakua cartel. Ila kwa picha kubwa zaidi kuna makundi kama hayo Kenya yanayojimilikisha berth za bandarini, Yanapandisha Bei ya vitu vya msingi Ili tu wapige faida kubwa. Serikali inawafahamu ila hauwezi kuwafanya chochote sababu ndio wamewekwa mfukoni.
Ndugu Zitto Junior nakushukuru sana kwa ufafanuzi malidhawa.
 
Kuna kitu nilisoma kinaitwa regulatory capture kwenye somo la DS 200.

Hiki ni kitendo cha malaka za usimamizi..kushindwa kusimamia majukumu yao either kwa kujiingiza katika biashara ambapo unakuta taasisi ya usimamizi nayo inafanya biashara hapa huwezi tegemea ufanisi hata kidogo ama kuwekwa mfukoni na wafanyabiashara.

Vivyo hivyo kama state capture kama alivyo fafanua hapo juu.

Viongozi kununuliwa na watu wenye nguvu ya kiuchumi..hivyo viongozi wa nchi wanakua hawana sauti bali kuishi kwa matakwa ya hao wakubwa...mana wao wapo kwenye payroll yao.

#MaendeleoHayanaChama
 
State capture ni pale watu wachache (Mabilionea) wanakua hawagusiki sababu Wana viongozi wa juu wa serikalini wapo mfukoni mwao. Kwa context ya Kenya kuna wale jamaa wanaitwa Mount Kenya foundation (Ruling Class ya Kikuyu) ambayo imejaa top billionaires wa Kenya kutoka kabila linatowala uchumi tokea uhuru.

Hao members wake watavusha bidhaa kwa magendo, watakwepa Kodi, watafanya ufisadi wa Kila aina ila hawatogusika sababu unakuta Rais wa nchi yupo mfukoni mwao kafuatilie KEMSA au Covid Billionaires scandals utapata picha zaidi.

2. cartels ni magenge whether ya kiuchumi au kiuhalifu yanayofanya njama kuhujumu uchumi au serikali. Kwa context ya Kenya mfano kwenye issue ya mafuta unakuta wamiliki wakija pamoja kupandisha Bei wote kwa mkupuo Ili wapate faida kubwa then hiyo Inakua cartel. Ila kwa picha kubwa zaidi kuna makundi kama hayo Kenya yanayojimilikisha berth za bandarini, Yanapandisha Bei ya vitu vya msingi Ili tu wapige faida kubwa. Serikali inawafahamu ila hauwezi kuwafanya chochote sababu ndio wamewekwa mfukoni.
Aisee hao state capture ni hatari kwa afya ya taifa.
 
State capture ni pale watu wachache (Mabilionea) wanakua hawagusiki sababu Wana viongozi wa juu wa serikalini wapo mfukoni mwao. Kwa context ya Kenya kuna wale jamaa wanaitwa Mount Kenya foundation (Ruling Class ya Kikuyu) ambayo imejaa top billionaires wa Kenya kutoka kabila linatowala uchumi tokea uhuru.

Hao members wake watavusha bidhaa kwa magendo, watakwepa Kodi, watafanya ufisadi wa Kila aina ila hawatogusika sababu unakuta Rais wa nchi yupo mfukoni mwao kafuatilie KEMSA au Covid Billionaires scandals utapata picha zaidi.

2. cartels ni magenge whether ya kiuchumi au kiuhalifu yanayofanya njama kuhujumu uchumi au serikali. Kwa context ya Kenya mfano kwenye issue ya mafuta unakuta wamiliki wakija pamoja kupandisha Bei wote kwa mkupuo Ili wapate faida kubwa then hiyo Inakua cartel. Ila kwa picha kubwa zaidi kuna makundi kama hayo Kenya yanayojimilikisha berth za bandarini, Yanapandisha Bei ya vitu vya msingi Ili tu wapige faida kubwa. Serikali inawafahamu ila hauwezi kuwafanya chochote sababu ndio wamewekwa mfukoni.
Ni nini tofauti kati ya state caputure na power elite model?
 
State capture Ni sawa na river capture. Mto mdogo hauwezi kukatiza katkati ya mto mkubwa lazima ufuate mkondo wa mto mkubwa. Hiyo ndo state capture. Cartel Ni genge la uhalifu lenye nguvu za kiserikali
 
Back
Top Bottom