Ufafanuzi wa Mapigo Kumi ya Wamisri!

Kumbuka wana wa Israeli walikuwa na eneo lao maalum la kuishi. Ndani ya nchi ya misri kuliteuliwa eneo la makazi kwa ajili ya waisraeli. Eneo hili liliitwa Rameses, ambalo farao alimwambia Yosef awape nduguze. Eneo hili lilikuwa bora, ardhi yenye rutuba.
 
sammyluv mkuu labda kama utakuwa umesoma kwa haraka haraka,ila popote panapomuhusu Mungu wa Waisraeli nimeanza na "M" kubwa,na pale pa miungu ya Wamisri nimeanza na "M" ndogo!
 
funny huh.

Hata farao aikuwa haogi ata mavazi yake hayasafishwi.

Waelezeee watu kuhusu ile mvua ya mawe na nzige pia.

siko vile nilivyokuwa, haimaanishi nipo tofauti.
 
Correction: Eneo walopewa WAEBRANIA liliitwa GOSHEN na si RAMESES kama usemavyo wewe .....

Nikirejea kuhusu MAPIGO si ENEO lilowaponya WAEBRANIA na HASIRA ya Mungu bali ni KINGA yake kwao kwa maana walikuwa ni taifa TEULE ....

Mungu alikusudia kuwalinda WAEBRANIA na hayo MAPIGO yalowapata WAMISRI ili wairejee nchi ya AHADI alokuwa amemwahidi Nabii IBRAHIM .... na ndo mana alitoa MAAGIZO wachinje, wale na kisha WAPAKAZE DAMU KATIKA MIIMO YA MILANGO YAO ili wajiepushe na madhara ya MALAIKA atakaepita usiku AKIDHURU WAZALIWA WA KWANZA wa mwanadamu na mnyama .....

WAEBRANIA walipona na VIFO VYA WAZALIWA WA KWANZA vilivyowapata WAMISRI si kwa kuwa waliishi GOSHEN bali kwa kuwa Mungu aliamua kuwalinda kwa KINGA YA DAMU KTK MIIMO YA MILANGO YAO ..... Jambo ambalo kwa WAMISRI halikufanyika ....
 
That means hiyo mvua iliyofanya mto ukajaa tope lenye rangi nyekundu ilinyesha mara moja tu katika historia ya dunia na haikuwahi kunyesha tena?
 
Soma kitabu cha Mwanzo 47:11. waisraeli walitengamana makazi na waisrael. Matatizo waliyopata wamisri hayakuingia katika eneo waliloishi waisrael
Narejea tena MSISITIZO kupona kwa WAEBRANIA si kwa sababu waliishi ktk eneo la GOSHEN bali ni MKONO WA MUNGU (Nia ya Mungu kuwaokoa)

Kwa maelezo zaidi soma BIBLIA kwa UTULIVU na UMAKINI
KUTOKA 12:7,12,13,29

KUTOKA 12:13 .... Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo, nami nitakapoiona ile DAMU, NITAPITA JUU yenu (pass over) lisiwapate pigo lolote likawaharibu nitakapoipiga nchi ya Misri ....
 
Haya kwa nini kwenye pigo la mwisho ni mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na mnyama ndo walikufa?
 
Kwa hiyo unataka kutuaminisha ile milima ya udongo mwekundu ili safishika ikawa mieupe. Au mvua hainyeshi tena katika milima yenye udongo mwekundu? Maana tungesikiaga hilo tukio likijirudia pindi mvua zinyeshapo kwenye milima ile. Ulicho andika ni sawa na Theory ya binaadamu alianza kama nyani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…