Ufafanuzi wa Mapigo Kumi ya Wamisri!

Hahaah umenifurahisha mtiririko wako

Sasa mkuu ilikuwaje hayo yote yakawa yanawapata tu Wamisri?

Na ilikuwaje pigo la kumi akafa tu mzaliwa wa kwanza wa wamisri
 
nadhani upo sahihi Asante.
 
Why jambo hili halitokei tena ?
 
Ndharia yako mkuu ipo sawa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kutokana na elimu niliyofundishwa mapigo hayo hayakutoka kwa Mungu, Zikikuwa ni chamgamoto za mabadiliko ya hali ya hewa tu
Sasa hapo imani inatuelekeza wapi kwa Mungu au sayansi na jiographia?
 
Leo Nimetambua Kumbe Kuna Miungu Makinikia. Haa Haa

"Wahenga Walisema Ukistaajabu Ya
Musa Utayaona Ya Firauni".
Ndio mkuu Miungu makinikia ni miungu ya kusadikika tu wala haina nguvu zozote that's why.
 
Unatakiwa Kutafakari sana kuhusu mambo haya, Mungu, Ra Na Osiris ni wapi katika Miungu wa Israel!
Unatakiwa Kujiuliza Kwanini Mungu Alimtokea Musa Kwa Ishara Ya Moto! kwenye Kile Kichaka!
Pia Unatakiwa Kujiuliza Kuwa Ni kwanini Wamisri walikuwa mbali Kiteknolojia kuliko Nchi Yoyote Duniani na Baada tu ya kuacha Kuamini Hiyo Miungu Yao Wakawa Mahututi na Tegemezi Hadi Leo.
 
Siku Utakayokuja Kujua Maana Ya neno "Israel" Ambao Nyie leo Mnaliita ni taifa Teule La Mungu, Kuwa ni Mkusanyiko Wa Majina Matatu Ya miungu watatu wa Misri, ambayo nyie Leo mnayaita Utatu Mtakatifu,

Yaani "IS" ikisimama Kwa Mungu Mama wa Misri aitwae Isis "RA" ikisimama Kwa Mungu Mwana Wa Misri Aitwae RA/Heru Na EL ikisimama kwa Mungu Baba Wa Misri aitwae Osiris au EL!

Naamini Utaanza Kupata mashaka Kuwa Leo Mnalishwa matango pori na Wazungu!

Huyo "AMEN" mnaemataja Mpaka Leo kwenye Mwisho wa Sala Zenu zote katika Dini Zote Ulimwenguni ni, Ikiwemo Ukristo, Uislam, Judism, Indian and Chinese Tradition Asili yake Ni Mungu Invisible Kutoka Misri! Unaposema Kulikuwa na Miungu Mfu!

Kifupi Hakuna Jipya lolote Kina Musa walikuwa matapeli tu na wezi wa Imani za Watu....
 
Ndio mkuu Miungu makinikia ni miungu ya kusadikika tu wala haina nguvu zozote that's why.
Sio kweli ile Miungu Haikuwa ya Kusadikika Na mpaka Leo Tunaisujudia Hiyo Hiyo! Mfano Yesu, Ni Copy And Paste From Ra/Heru Bikira Maria Ni Copy and Paste from Egypt Goddess Isis! Na Hata Mnayemuita Mungu Baba ni El au Osiris Huyo Wa Egypt!

Kalagabaho
 
Miungu Fulani ya Misri, akiwemo IS, Ra, El, Na Amun/Amen ilipata Wivu Baada ya Kuona Kuna Miungu Mingi mno Inayosujudiwa Ikaamua Kujitenga Na Kuhamia Kwa Musa! Hiyo Ndiyo Iliyofanya Mapigo Yale
 
Miungu Fulani ya Misri, akiwemo IS, Ra, El, Na Amun/Amen ilipata Wivu Baada ya Kuona Kuna Miungu Mingi mno Inayosujudiwa Ikaamua Kujitenga Na Kuhamia Kwa Musa! Hiyo Ndiyo Iliyofanya Mapigo Yale
Mkuu Secret star kama nakuelewa hivi,

Ina maana hiyo miungu ilianza tangu Adam na Hawa au?
 
Mkuu Secret star kama nakuelewa hivi,

Ina maana hiyo miungu ilianza tangu Adam na Hawa au?
Kisa Cha Adam Na Hawa Alikitengeneza Musa! Akiiga Kisa Cha Kale Cha wamisri Kilichokuwa Kinamzungumzia "Atum" Kama Mtu Wa Kwanza!
 
Kisa Cha Adam Na Hawa Alikitengeneza Musa! Akiiga Kisa Cha Kale Cha wamisri Kilichokuwa Kinamzungumzia "Atum" Kama Mtu Wa Kwanza!
Mkuu kama hutojali ukipata mda hebu andika thread kabsa me napenda sana kujifunza haya mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…