Ufafanuzi wa sheria: Wafanyakazi wa umma wameajiriwa na serikali na serikali ndo inasema ni hewa

Ufafanuzi wa sheria: Wafanyakazi wa umma wameajiriwa na serikali na serikali ndo inasema ni hewa

Nyaru

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
289
Reaction score
232
Wadau,

Hivi sheria zinasemaje katika hili. Wafanyakazi wa umma wameajiriwa na serikali, na serikali hiyo hiyo ndo inasema baadhi ni hewa, sasa kwanini gharama za kwenda kuhakikiwa wanazotumia wafanyakazi zisifidiwe na serikali? Msaada juu ya hili kwa wanaoijua vema sheria kwani nina mpango wa kufungua kesi mahakamani juu ya kulipwa gharama nilizotumia.

Asante, naomba kuwasilisha.
 
Samahani Mkuu!

Kwani gharama ulizotumia kwenda kuhakikiwa ni kiasi gani mkuu?
 
Samahani Mkuu!

Kwani gharama ulizotumia kwenda kuhakikiwa ni kiasi gani mkuu?
Broo mpaka ssa ni sh. 42000(chakula,photocopy,nauli,,) + mda + mikwala na simu za ghafra
 
Back
Top Bottom