mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Waziri TAMISEMI, Ummy Mwalimu ametolea ufafanuzi kuhusu video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha wanafunzi wa madarasa tofauti wakitumia chumba kimoja cha darasa huku walimu wakiendelea kufundisha.
Waziri Ummy amesema haya...
Hii kweli inafadhaisha, Hizi tunaziita satellite schools ambazo vinajitokeza kutokana na kuhamahama kwa wakulima ama wafugaji. Huacha vijiji vyao na kuanzisha makazi mapya. After 3 years watoto wanakuwa na hivyo kuhitaji shule. Ndio wanaanzisha shule kama hizi.
Na wanatafuta wao wenyewe walimu wao. Na mara nyingi hawaripoti kuanza kwa shule hiyo Serikalini. Baadae wakiona wamezidiwa ndio wanatafuta namna ya kusaidiwa. Anyhow.
Uongozi wa Mkoa wa Iringa unalifuatilia na kuona namna bora ya kutatua changamoto hii.
Shule hii haijasajiliwa. Na zipo maeneo mengi nchini. Mwezi July 2021 tumeanza utaratibu wa kuzibainisha shule zote ambazo sio rasmi ili kuweza kuwaunga mkono wananchi kwa kujenga madarasa mengine na kupeleka walimu ili watoto hawa wapate haki yao ya elimu bora.
----
Satellite School kwa mujibu wa UNESCO
Waziri Ummy amesema haya...
Hii kweli inafadhaisha, Hizi tunaziita satellite schools ambazo vinajitokeza kutokana na kuhamahama kwa wakulima ama wafugaji. Huacha vijiji vyao na kuanzisha makazi mapya. After 3 years watoto wanakuwa na hivyo kuhitaji shule. Ndio wanaanzisha shule kama hizi.
Na wanatafuta wao wenyewe walimu wao. Na mara nyingi hawaripoti kuanza kwa shule hiyo Serikalini. Baadae wakiona wamezidiwa ndio wanatafuta namna ya kusaidiwa. Anyhow.
Uongozi wa Mkoa wa Iringa unalifuatilia na kuona namna bora ya kutatua changamoto hii.
Shule hii haijasajiliwa. Na zipo maeneo mengi nchini. Mwezi July 2021 tumeanza utaratibu wa kuzibainisha shule zote ambazo sio rasmi ili kuweza kuwaunga mkono wananchi kwa kujenga madarasa mengine na kupeleka walimu ili watoto hawa wapate haki yao ya elimu bora.
----
Satellite School kwa mujibu wa UNESCO