Dachr Senior Member Joined Aug 25, 2011 Posts 110 Reaction score 8 Apr 7, 2012 #1 Kwa busara zenu wa jf hasa katika jukwa hili la elimu naombeni ushauri wenu wa hari na mali.Naomba kufahamishwa zaidi kwa mtu anayetaka/somea journalism and mass communication soko lipo vipi.Nawasilisha nikisubiri mawazo yenu.
Kwa busara zenu wa jf hasa katika jukwa hili la elimu naombeni ushauri wenu wa hari na mali.Naomba kufahamishwa zaidi kwa mtu anayetaka/somea journalism and mass communication soko lipo vipi.Nawasilisha nikisubiri mawazo yenu.