JF members samahani naomba kuelewa nna ndugu yangu ana ugonjwa wa ngoz lakin nimezunguka hospitali kadhaa nikapewa baadhi ya dawa ila zote ni kama zina tuliza tu na baadae ugonjw unarudia hadi sasa umeanza kuenea mwili mzima...
Kama kuna uelewa yeyote anao juu ya ugonjwa huu anielekeze kidogo na mm kama ni ugonjwa wa ngozi au ni alergy na wapi nawez pata matibabu.