nafikiri ushanunua, mi ninayo iko poa sana!Poa poa,ngoja nifanye michakato
Picha angalaunafikiri ushanunua, mi ninayo iko poa sana!
Picha angalau
Ninayo ina navigation ipo Kijapan wewe umefanikiwa kubadili lughaTayari ndugu,sijajuta hata kidogo
Nimechemka kabisa labda kama kuna mtaalam humuNinayo ina navigation ipo Kijapan wewe umefanikiwa kubadili lugha
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kaka nami sijafanikiwa kubadili lugha, mkifanikiwa tujulishane
aisee nami navigation ni ya kijapan sijafanikiwa mpaka leo, naona inanikosesha vitu vingi sanaπ‘π‘Ninayo ina navigation ipo Kijapan wewe umefanikiwa kubadili lugha
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman na mini Cooper hakuna anaejua details zake?Habari zenyu wandugu,naomba kufahamishwa wasifu wa gari aina ya Nissan dualis katika ulaji wa mafuta,stability katika road,upatikanaji wa mafuta etc
Rangi zipo nyingi tu, unachagua unayotakaπ
mtag Mshana jr au Rrondo naona wao ni wataalam sana
aisee nami navigation ni ya kijapan sijafanikiwa mpaka leo, naona inanikosesha vitu vingi sanaπ‘π‘
kweli kaka nami sijafanikiwa kubadili lugha, mkifanikiwa tujulishane
Labda tujaribu kuweka android radio