Ufahamu kwenye bajeti hii ya 2024/25 kuhusu mafuta ya petroli kwa Pendekezo la waziri katika hotuba yake bungeni

Ufahamu kwenye bajeti hii ya 2024/25 kuhusu mafuta ya petroli kwa Pendekezo la waziri katika hotuba yake bungeni

Nsennah

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2021
Posts
1,947
Reaction score
1,554
Screenshot_20240615_125951_WPS Office.jpg

Wadau, picha yajieleza hapo!! Hofu yangu ni moja na pengine watanzania naomba mnifafanulie. Kukiwa na punguzo la bei ya mafuta ya petroli sokoni bei isishuke bali ibaki kama hapo awali? Kwa tafsri hiyo ni kwamba sheria ikiwekwa kama bei ni 3000tsh kwa lita hata ikishuka sokoni na kustahili kuwa 2970 bado ibaki 3000 na pesa iliyotakiwa kupunguzwa (30tsh) ndo ielekezwe kwenye mfuko wa barabara?

Na ikipanda sokoni ikawa 3200tsh itamuathiri mlaji atalazimika kununua kwa 3200 na endapo itashuka kwenye soko na kuwa 3100tsh, bei itaendelea kuwa 3200 hiyo 100 inaelekezwa kwenye mfuko wa barabara?
Napenda kufahamu zaidi kwenye hili maana naliona kwa upande wa mtumiaji wa mwisho kuendelea kuwekewa bei isiyo rafiki kwa mlaji wa mwisho kutofaidika na price fluctuation ya petroli.

Nawasilisha kwa ajili ya ufahamu zaidi.

Pia soma:Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wamefikiwa, wawekewa tozo ya 382 kwa kila kilo
 
View attachment 3018978
Wadau, picha yajieleza hapo!! Hofu yangu ni moja na pengine watanzania naomba mnifafanulie. Kukiwa na punguzo la bei ya mafuta ya petroli sokoni bei isishuke bali ibaki kama hapo awali? Kwa tafsri hiyo ni kwamba sheria ikiwekwa kama bei ni 3000tsh kwa lita hata ikishuka sokoni na kustahili kuwa 2970 bado ibaki 3000 na pesa iliyotakiwa kupunguzwa (30tsh) ndo ielekezwe kwenye mfuko wa barabara?
Na ikipanda sokoni ikawa 3200tsh itamuathiri mlaji atalazimika kununua kwa 3200 na endapo itashuka kwenye soko na kuwa 3100tsh, bei itaendelea kuwa 3200 hiyo 100 inaelekezwa kwenye mfuko wa barabara?
Napenda kufahamu zaidi kwenye hili maana naliona kwa upande wa mtumiaji wa mwisho kuendelea kuwekewa bei isiyo rafiki kwa mlaji wa mwisho kutofaidika na price fluctuation ya petroli.
Nawasilisha kwa ajili ya ufahamu zaidi.
Sisi WATANZANIA hatuna la kufanya na hata wafanyeje hakuna wa kufanya lolote.

Mwenge wa Uhuru ukibaki Makumbusho hakika tutaishj sana
 
Sisi WATANZANIA hatuna la kufanya na hata wafanyeje hakuna wa kufanya lolote.

Mwenge wa Uhuru ukibaki Makumbusho hakika tutaishj sana
Nzuri zaidi sa hivi kutakuwa na vyura viziwi wengi.
 
Ubunifu wa huyo kiazi wa wizara ya fedha ndio umeishia hapo.

Lakini watanzania walivyo makuku hiyo watalipa tu. Ingekuwa nchi inayojielewa watu wangepaki magari nyumbani mpaka hiyo iondolewa, na hata bei za mafuta zingeshuka tu.

Kama hauko tayari ku sacrifice kwenye maisha basi utaendelea kubinywa kende mpaka siku ya mwisho. Utakamuliwa ili wao wanune ma v8 ya kubebea vitoto vya chuo.
 
Ubunifu wa huyo kiazi wa wizara ya fedha ndio umeishia hapo.

Lakini watanzania walivyo makuku hiyo watalipa tu. Ingekuwa nchi inayojielewa watu wangepaki magari nyumbani mpaka hiyo iondolewa, na hata bei za mafuta zingeshuka tu.

Kama hauko tayari ku sacrifice kwenye maisha basi utaendelea kubinywa kende mpaka siku ya mwisho. Utakamuliwa ili wao wanune ma v8 ya kubebea vitoto vya chuo.
Inauma sana kuona taifa ambalo tulitegemea bei ya mafuta kushuka ila watu wanaitafutia namna ya kuibakiza juu kwa visingizio vidogo vidogo.
 
Back
Top Bottom