hahah.. pole sana mkuu.Huu mti ulinitengua mkono ototoni na sikusema nyumbani.Nilikatazwa kupanda miti hivyo nikajua nikielezea nimetengukaje mkono itakula kwangu...
yeah.. nlizani ni huu ,inafanna fnan kwa mbali sema.
sahihi sana mkuu. wanapendelea mno kwa sababu una madini ya kutosha ya b-carotenembuzi wanapenda sana huu mti
ni kweli kabisa mkuu, mara nyingi iko ivo kutokana na madini yanayopatikana katika mmea huo.Majani yake wakipewa kuku wanataga sana na mayai yao yanakuwa njano sana
kuwepo huko porini hakumaanishi umekuwapo huku kwetu miaka mingi au ndio asili yake la hasha bali inawezekana uliletwa nchini then ndo ukasambaa au watu wakafika nao hadi hayo maeneo.Ila hapo kwenye asili yake napata shaka. Nimeiona hiyo miti porini huko sana tu!
mkuu,
unaweza toa mbao ambazo zinaweza kutumika kwa muda mfupi kujengea au mrefu kuezekea ikiwa utawekewa vitunzifu.
Alitakiwa ukamshitaki polisi au maliasili. Kukata mti wowote ule bila kibali cha maliasili ni kosa kisheria.
Ni chakula kizuri sana kwa mifugo na hata kuku....KUMBE NI MBOGA PIA? NIMELISHA SANA NG'OMBE HII KITU.
asante sana mkuu, kwa maelezo bora kabisa.Mlusina ni mti wa kigeni kama ulivyosema na kiukweli hapa TZ iliingizwa hasa hasa kwa kilimo mseto, sijawahi kuona umetumika kama mbao.
unakuaga n maua mazuri sna kipindi cha krismas..
sawa kabisa mkuu, mti anaosema jamaa haponi huuUtakuwa umechanganya na Mkakaya au Delonix regia wenye maua mazuri mekundu
Naona umeweka na scientif name yake kabisa. Hongera. Nilikuwa najua english name na scientific lakini kiswahili nilikuwa sijui.sawa kabisa mkuu, mti anaosema jamaa haponi huu
Mkakaya (Delonix regia) ambao hutoa maua mekundu.
View attachment 1075199
wakati mlusina unatoa maua meupe.
View attachment 1075201
hahaha.. unaeka kitunguu tu na mafuta kidogo sana. lakini wanadai ina keikali ya mimosine ambayo ina asili ya sumu hivyo matumizi yake si salama sana mkuu (risky).Aya tuelekezane jinsi ya kuandaa iyo mboga vipi inawekwa nyanya au vitunguu sammu, na inaliwa na ugali au
ni kweli kabisa mkuu. asante kwa elimu hiyo.. maua yake yanavutia mnoNaona umeweka na scientif name yake kabisa. Hongera. Nilikuwa najua english name na scientific lakini kiswahili nilikuwa sijui.
Halafu huu mti umeitwa mkrismasi kutokana na kugongana kwa msimu wake wa kutoa maua kwa ukanda wetu ambao ni mwezi December.
Kanda nyingine maua huchipua vipindi tofauti tofauti vya mwaka
Na mbuzi wanapnda sanaKUMBE NI MBOGA PIA? NIMELISHA SANA NG'OMBE HII KITU.