Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
Habari,
Je, ni kweli wagonjwa wengine wa mabusha hugoma kuyafanyia upasuaji kwa sababu ya imani za kishirikina eti kwenye yale mabusha kunakuwa na zana zao yani vifaa vyao vya kishirikina?
Je, ni kweli wagonjwa wengine wa mabusha hugoma kuyafanyia upasuaji kwa sababu ya imani za kishirikina eti kwenye yale mabusha kunakuwa na zana zao yani vifaa vyao vya kishirikina?