Ufalme wa Jordan uko hatarini kufuatia kuongezeka uungwaji mkono wa Hamas. Waandamanaji wamsifu Yahya Sinwar

Ufalme wa Jordan uko hatarini kufuatia kuongezeka uungwaji mkono wa Hamas. Waandamanaji wamsifu Yahya Sinwar

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kiwango cha ongezeko la maandamano nchini Jordan kumeanza kutishia ufalme wa nchi hiyo.Wiki iliyopita waandamanaji hao walifurika mitaani na kuzunguka ubalozi wa Israel.

Pamoja na kubeba mabango ya kusifia wapiganaji wa Hamas,waandamanaji hao walisikika wakiimba kuwa wao ni wafuasi wa Yahya Sinwar ambaye anakisiwa yuko chini kwenye mahandaki ya Gaza ambako Israel imeshindwa kumfikia.

Baadhi ya vichocheo vya ongezeko hilo imetajwa ni msimamo wa waziri mkuu wa nchi hiyo ambaye amekuwa akitoa matamshi makali dhidi ya Israel na pia mke wa mfalme Abdalla ,bi Rania ambaye bila kizuizi amekuwa akitoa matamko ya kizalendo.

Mmoja ya viongozi wakuu wa Hamas aitwaye Meshaal ni raia wa Jordan na hotuba zake zimekuwa zikiungwa mkono sana nchini humo ambapo kuna Idadi kubwa ya watu wa Gaza ukongezea na wapalestina w maeneo mengine.

Miaka michache iliyopita ufalme huo uliponea chupuchupu kupinduliwa na wanamapinduzi ambao waliungwa mkono na Iran na Syria.

Iwapo ufalme huo utapinduliwa na madaraka kushikwa na watu wenye misimamo ya Hamas na Ikhwanul muslimina itakuwa ni tiketi kubwa ya wapalestina kurudi kwenye ardhi zao zinazokaliwa na Israel tangu mwaka 1948.

US ally Jordan rocked by pro-Hamas, Muslim Brotherhood protests over Gaza war

 
Kiwango cha ongezeko la maandamano nchini Jordan kumeanza kutishia ufalme wa nchi hiyo.Wiki iliyopita waandamanaji hao walifurika mitaani na kuzunguka ubalozi wa Israel.

Pamoja na kubeba mabango ya kusifia wapiganaji wa Hamas,waandamanaji hao walisikika wakiimba kuwa wao ni wafuasi wa Yahya Sinwar ambaye anakisiwa yuko chini kwenye mahandaki ya Gaza ambako Israel imeshindwa kumfikia.

Baadhi ya vichocheo vya ongezeko hilo imetajwa ni msimamo wa waziri mkuu wa nchi hiyo ambaye amekuwa akitoa matamshi makali dhidi ya Israel na pia mke wa mfalme Abdalla ,bi Rania ambaye bila kizuizi amekuwa akitoa matamko ya kizalendo.

Mmoja ya viongozi wakuu wa Hamas aitwaye Meshaal ni raia wa Jordan na hotuba zake zimekuwa zikiungwa mkono sana nchini humo ambapo kuna Idadi kubwa ya watu wa Gaza ukongezea na wapalestina w maeneo mengine.

Miaka michache iliyopita ufalme huo uliponea chupuchupu kupinduliwa na wanamapinduzi ambao waliungwa mkono na Iran na Syria.

Iwapo ufalme huo utapinduliwa na madaraka kushikwa na watu wenye misimamo ya Hamas na Ikhwanul muslimina itakuwa ni tiketi kubwa ya wapalestina kurudi kwenye ardhi zao zinazokaliwa na Israel tangu mwaka 1948.

US ally Jordan rocked by pro-Hamas, Muslim Brotherhood protests over Gaza war

Waambie tu wapindue Nchi and then wakianzishe vita na Israel ndio watajua Mipaka ya Israel ya kwenye Bible na Kuran inaanzia wapi na inaishia wapi... this time vita ikiwa kubwa Arabs ndio itakuwa marufuku kuishi nhci takatifu ya Mungu.. sababu wanaitia najisi tu..
 
Unajidanganya sana ewe kijana.Usalama wa Israel uko mikononi mwa viongozi vibaraka wa Misri na Lebanon/
Wakipinduliwa leo basi Israel haina ubavu wa kuwadhibiti wananchi wa nchi hizo kuingia ardhi za wapalestina na kuwahami wenzao au kuwafurusha mayahudi.
.Waambie tu wapindue Nchi and then wakianzishe vita na Israel ndio watajua Mipaka ya Israel ya kwenye Bible na Kuran inaanzia wapi na inaishia wapi... this time vita ikiwa kubwa Arabs ndio itakuwa marufuku kuishi nhci takatifu ya Mungu.. sababu wanaitia najisi tu..
 
Tafuta tiba mida si mrefu utaokota makopo
Tulikwambia Zelensky hatoki na hukuamini.Sasa anasema kama hajapokea misaada kutoka US basi atarudisha majeshi yake nyuma.
 
Tulikwambia Zelensky hatoki na hukuamini.Sasa anasema kama hajapokea misaada kutoka US basi atarudisha majeshi yake nyuma.
Umeamia kwa zelensky baada ya al qassam kwenda peponi kutafuna bikra 72 je Huu ni ufafanuzi wa hii habari au umesahau kunywa dawa zako?
 
Kiwango cha ongezeko la maandamano nchini Jordan kumeanza kutishia ufalme wa nchi hiyo.Wiki iliyopita waandamanaji hao walifurika mitaani na kuzunguka ubalozi wa Israel.

Pamoja na kubeba mabango ya kusifia wapiganaji wa Hamas,waandamanaji hao walisikika wakiimba kuwa wao ni wafuasi wa Yahya Sinwar ambaye anakisiwa yuko chini kwenye mahandaki ya Gaza ambako Israel imeshindwa kumfikia.

Baadhi ya vichocheo vya ongezeko hilo imetajwa ni msimamo wa waziri mkuu wa nchi hiyo ambaye amekuwa akitoa matamshi makali dhidi ya Israel na pia mke wa mfalme Abdalla ,bi Rania ambaye bila kizuizi amekuwa akitoa matamko ya kizalendo.

Mmoja ya viongozi wakuu wa Hamas aitwaye Meshaal ni raia wa Jordan na hotuba zake zimekuwa zikiungwa mkono sana nchini humo ambapo kuna Idadi kubwa ya watu wa Gaza ukongezea na wapalestina w maeneo mengine.

Miaka michache iliyopita ufalme huo uliponea chupuchupu kupinduliwa na wanamapinduzi ambao waliungwa mkono na Iran na Syria.

Iwapo ufalme huo utapinduliwa na madaraka kushikwa na watu wenye misimamo ya Hamas na Ikhwanul muslimina itakuwa ni tiketi kubwa ya wapalestina kurudi kwenye ardhi zao zinazokaliwa na Israel tangu mwaka 1948.

US ally Jordan rocked by pro-Hamas, Muslim Brotherhood protests over Gaza war

Basi mnafuraaaaahi nchi za kiislam zikiwaka moto. Hivi hayo mapinduzi yakitokea na Jordan ikawa kama Libya au Syria basi ndio itakuwa furaha yenu au? Allah azilinde nchi za kiislam na awaongoze watawala wake. Why mko obsessed na maandamano na mapinduzi katika nchi za kiislam? Na ilhali mnajua hamkuwahi kufanikiwa?

Allah awape nguvu watu wa Tawheed na Sunnah. Ndugu zetu wapalestina wanaponzwa sana na watu wajinga wenye jazba wakisukumwa na marafidhwah.
 
Basi mnafuraaaaahi nchi za kiislam zikiwaka moto. Hivi hayo mapinduzi yakitokea na Jordan ikawa kama Libya au Syria basi ndio itakuwa furaha yenu au? Allah azilinde nchi za kiislam na awaongoze watawala wake. Why mko obsessed na maandamano na mapinduzi katika nchi za kiislam? Na ilhali mnajua hamkuwahi kufanikiwa?

Allah awape nguvu watu wa Tawheed na Sunnah. Ndugu zetu wapalestina wanaponzwa sana na watu wajinga wenye jazba wakisukumwa na marafidhwah.
Hakuna haja ya kuongozwa na watu wajinga ambao ni vibaraka wa maadui wa Allah.Tawala kama hizo ndizo zimerudisha nyuma maendeleo ya waislamu na kuufanya Uislamu utukanwe na watu kama nyinyi.
 
Hakuna haja ya kuongozwa na watu wajinga ambao ni vibaraka wa maadui wa Allah.Tawala kama hizo ndizo zimerudisha nyuma maendeleo ya waislamu na kuufanya Uislamu utukanwe na watu kama nyinyi.
Uislam wenyewe una matobo kila mtu mbaya anaweza kuyatumia vizur kufanikisha malengo yake.
 
Yahya Sinwar hana mchezo kabisa na wasaliti.Kuna show moja aliwafukia wasaliti wakiwa hai ,akarudi nyumbani hasira zikaanza upya akarudi kupiga zege .
 
Endelea kuota hizo ndoto (Reverie) ila mwisho wa siku hiyo Jordan yote itakuwa Israel na ni Misri tu aliyewahi akasain mkataba wa Camp David ndiye atakaye pona.
 
Back
Top Bottom