Ufalme wa Mungu ukiingia katika siasa za nchi yetu, hakuna mtu atatekwa tena

Ufalme wa Mungu ukiingia katika siasa za nchi yetu, hakuna mtu atatekwa tena

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow Tanganyika!!

IPO Ile Sala ambayo Mungu katika mwili wa mwanadamu, Yesu Kristo aliwafundisha wanafunzi wake akisema,

Msalipo,semeni hivi:
BABA yetu uliye Mbinguni, Jina lako litukuzwe, "UFALME WAKO UJE", Mapenzi Yako yatimizwe hapa duniani kama huko Mbinguni...

Sasa wanasiasa ukiwagusa kutenda HAKI ,wanakwambia unaingiza siasa Mahali Si pake, kwamba Eti kuwaambia wanasiasa acheni wizi wa kura ni kuingiza dini kwenye siasa!

Huu ni mwaka wa uchaguzi, na mahala sahihi pa kuingiza, kuleta UFALME WA Mungu chini petu ni katika chaguzi zetu,

Tuchague viongozi wetu Kwa HAKI, Sanduku la kura liheshimiwe, tupate Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Hakikisha unahusika kuleta UFALME wa Mungu nchini petu mwaka huu 2025.

Na Ufalme wa Mungu ukiingia nchini petu, wizi wa kura utakuwa historia,hatotekwa mtu tena,kamwe.

Karibuni 🙏
 
Sadaka tunaweka kwenye namba gani??
Sadaka inayotakiwa ni kuacha kulinajisi Sanduku la kura.

Hiyo ni sadaka njema sana.

Mwizi wa kura akileta sadaka madhabahuni, ni LAANA hiyo,

Toba ianze,watu waache wizi, Kisha sadaka ifuate.
 
Ukiangalia Kwa makini, TUNDU Lissu na God bless Lema na wote wanaopambania HAKI katika chaguzi zetu, ni manabii kabisa wa Mungu.

Wabarikiwe 🙏
 
UFALME wa MUNGU ni MFUMO WA KIUTAWALA!

Ulichosema Mkuu ni Kweli, Hakika na Sahihi!

TUKAZANE KUOMBA UFALME WAKE UJE NA UKITE KATIKA MFUMO WA SIASA KATIKA TAIFA HILI.

TUWAOMBEE ... WABEBAJI WA AJENDA ZA UFALME WA MUNGU ULINZI, NGUVU, NEEMA, NA HEKIMA!
 
UFALME wa MUNGU ni MFUMO WA KIUTAWALA!

Ulichosema Mkuu ni Kweli, Hakika na Sahihi!

TUKAZANE KUOMBA UFALME WAKE UJE NA UKITE KATIKA MFUMO WA SIASA KATIKA TAIFA HILI.

TUWAOMBEE ... WABEBAJI WA AJENDA ZA UFALME WA MUNGU ULINZI, NGUVU, NEEMA, NA HEKIMA!
HAKIKA,

Jumba jeupee ni Mahali patakatifu,

Ifike Mahali Wala rushwa wapaogope Mahali hapo. Hawa wanaonunua wapiga kura maskini Ili wapate uongozi.
 
Hellow Tanganyika!!

IPO Ile Sala ambayo Mungu katika mwili wa mwanadamu, Yesu Kristo aliwafundisha wanafunzi wake akisema,

Msalipo,semeni hivi:
BABA yetu uliye Mbinguni, Jina lako litukuzwe, "UFALME WAKO UJE", Mapenzi Yako yatimizwe hapa duniani kama huko Mbinguni...

Sasa wanasiasa ukiwagusa kutenda HAKI ,wanakwambia unaingiza siasa Mahali Si pake, kwamba Eti kuwaambia wanasiasa acheni wizi wa kura ni kuingiza dini kwenye siasa!

Huu ni mwaka wa uchaguzi, na mahala sahihi pa kuingiza, kuleta UFALME WA Mungu chini petu ni katika chaguzi zetu,

Tuchague viongozi wetu Kwa HAKI, Sanduku la kura liheshimiwe, tupate Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Hakikisha unahusika kuleta UFALME wa Mungu nchini petu mwaka huu 2025.

Na Ufalme wa Mungu ukiingia nchini petu, wizi wa kura utakuwa historia,hatotekwa mtu tena,kamwe.

Karibuni 🙏
Mungu ni Kweli. Haki na Uhuru ni matunda ya Kweli (Mungu).
Kutaja jina la Mungu, Yesu Kristo au minute na managing bila kusimamia kweli, haki na Uhuru ni unafiki na ushetani.
Changamoto ni kubadilisha tamaduni za kishetani kuwa za kiMungu.
 
Mungu ni Kweli. Haki na Uhuru ni matunda ya Kweli (Mungu).
Kutaja jina la Mungu, Yesu Kristo bila kusimamia kweli, haki na Uhuru ni unafiki na ushetani.
Changamoto ni kubadilisha tamaduni za kishetani kuwa za kiMungu.
Endelea kupaza sauti ukiungana na wote waitakao HAKI juu ya nchi.

Kamwe Giza halijawahi kuishinda Nuru, cc: Erythrocyte
 
Endelea kupaza sauti ukiungana na wote waitakao HAKI juu ya nchi.

Kamwe Giza halijawahi kuishinda Nuru, cc: Erythrocyte
Kueneza hii elimu kuna changamoto kubwa ya wengi kutokuelewa kuwa kukubali utumwa ni uasi dhidi ya Mungu kwa kuwa Mungu ni Kweli inayotoa Haki na Uhuru.
Mafundisho ya kishetani huwadanganya watumwa kuwa mamlaka zote hutoka kwa Mungu kinyume kabisa na Kweli.
 
Back
Top Bottom