LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ndio maana baadhi ya Wana nzuoni huwa wana toa hoja kwamba maandiko yanapo SEMA binadamu aliumbwa Kwa sura na mfano wa Mungu ni kwamba Kuna kitu kimepotoshwa hapo na kwamba ukweli ni kuwa binadamu aliumbwa ama alitengenezwa Kwa sura Na mfano WA Nyani/sokwe . "humans were created in the images and likeness of the apes".
Kwamba binadamu alitengenezwa Kwa KUMAnipulate DNA za masokwe Na miungu 'gods"
Ndio maana Adamu alipo zingua pale Eden aliambiwa live kwamba yeye ni sokwe Na katika usokwe ndipo atakapo rejea Kwa maana ndiko Alikotwaliwa.
" Kwa maana MAVUMBI WEWE" hilo neno mavumbi litoe Na badala yake weka neno sokwe. Itakuja Kwa maana u sokwe wewe.
Kwamba binadamu alitengenezwa Kwa KUMAnipulate DNA za masokwe Na miungu 'gods"
Ndio maana Adamu alipo zingua pale Eden aliambiwa live kwamba yeye ni sokwe Na katika usokwe ndipo atakapo rejea Kwa maana ndiko Alikotwaliwa.
" Kwa maana MAVUMBI WEWE" hilo neno mavumbi litoe Na badala yake weka neno sokwe. Itakuja Kwa maana u sokwe wewe.