majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 454
- 636
kama hujazitupa wewe nani azitupe? Thinking ya matope!Watakiwa kuokota shs 100, 200 hata 500.
Sasa waburuza fagio kwa mbwembwe na siajabu kudeki kabisa halafu huokoti chochote basi ujuwe kazi unayo!
Mnasemaje wadau
Unawaza Mia wakati mijusii na panya mende inapishana kwakoo balaaWatakiwa kuokota shs 100, 200 hata 500.
Sasa waburuza fagio kwa mbwembwe na siajabu kudeki kabisa halafu huokoti chochote basi ujuwe kazi unayo!
Mnasemaje wadau