Ufanyike uchunguzi Klabu ya Simba SC ichunguzwe!

Tunaongelea sensitive issue hapa, taasisi husika zimemkamata kocha wenu n muuza na msamabazaji wa ngada wa timu ya Simba sc.

Mateja fc[emoji1787][emoji1787]
Sasa kama vyombo husika vinamshughulikia mhalifu Simba inahusika vipi? Upuuzi wenu kuihusisha Simba na matendo binafsi ya Mwarami ndiyo imefukua hizi tuhumu za kiongozi wenu mkuu kubanduana na Msemaji mkuu
 
kubweka kwa zamu nyie si mshamalizaaaaaaaa,lete ngada lete ngada
CAF kesho watakata huu upepo wakishamaliza jambo lao.mnakomalia mambo ya kibwege,Utopolo bana bure kabisa.
 
View attachment 2417803

Ukiunganisha patterns, kuna haja ya kuchunguza hili suala kwa mapana.

Mengi yamejifunika
Nyasa big bullets walifungwa mbili bila kwao, huko nani aliweka madawa kwenye chakula ambacho walijikia wenyewe?

CD premeiro de agosto alikufa tatu moya kwake, huko nani aliweka madawa wakati wao ndio walikuwa wamiliki wa mchezo?

Na hapo unganisha patterns
 
Umejiandikia mavi tu hapa mzee wangu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni shabiki wa simba kindaki ndaki lakini kwenye hili la kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya hapana!! naunga mkono uchunguzi ufanyike.

Huyu nguruwe pori kachafua kabisa klabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…