Ufaransa anabeba Kombe la Dunia

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Binafsi ni mshabiki mkubwa wa Argentina lakini game ya leo naona kabisa Ufaransa anabeba.

Ufaransa ni team yenye uzoefu mkubwa na wana kocha ambaye anajua vizuri kucheza kwenye game muhimu kama hizi, tujiandae kisaikolojia kabisa kwa Ufaransa kubeba tena kwa mara nyingine.
 
Reason why Argentina anashinda ni Messi ntaeleza baada ya mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…