Kipigo alichompiga Croatia mwaka 2018 kesho kitamgeukia atachapwa ndani ya dakika 90
Messi atamfunga na wengine watafunga
Messi pia atakuwa mchezaji Bora wa mashindano
Na mwakani Messi atakuwa mchezaji Bora wa Dunia na huo ndio utakuwa mwisho wake πππ
Na Messi ataandikwa Kama mchezaji Bora wa muda wote kuwai kutokea hapa Duniani Na kuwapiku Pele pamoja na Maradonaππ