JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Wabunge wengi wa Ufaransa wametaka hatua kali zichukuliwe dhidi ya mbunge wa National Rally, Gregoire de Fournas aliyepiga kelele akisema “rudi zako Afrika” wakati mbunge Mweusi akiuliza swali kuhusu uhamiaji.
Bunge la Taifa la Ufaransa lilipiga kura kumuadhibu de Fournas kwa kumzuia kuhudhuria bunge kwa siku 15 na malipo yake kupunguzwa baada ya kupiga kelele “rudi zako Afrika” kwa mbunge mwenzake mweusi, mgogano ulioleta ghadhabu.
“Ubaguzi, bila ya kujali unamlenga nani, ni kinyume cha maadili ya jamhuri ambayo inatuunganisha sote katika ukumbi huu,” Rais wa Mbunge huyo, Yael Braun-Pivet alisema baada ya kura kupigwa.
Adhabu hiyo iliyotolewa na Bunge la Taifa ni kali zaidi kutolewa kwa mujibu wa kanuni zake, ambalo linakubali wabunge wana uhuru wa kujieleza wakati wa vikao vya bunge.
Ilikuwa ni mara ya pili katika historia ya Jamhuri ya Tano ya Ufaransa, iliyoundwa na Charles de Gaulle mwaka 1958, mbunge amepewa karipio kama hilo.
De Fournas, aliondoka katika ukumbi mara baada ya upigaji kura, alitoa hisia zake kupitia Twitter akisema “mimi sina makosa kabisa… lakini naiheshimu taasisi hii, na nakubali” maamuzi yake.
===================
French far-right MP De Fournas suspended for shouting 'Back to Africa'
A far-right MP has been given a 15-day ban from France's National Assembly for shouting "they should go back to Africa" as a black colleague talked about immigration.
Grégoire de Fournas of National Rally (RN) said his remark had not been aimed at Carlos Martens Bilongo but at migrants trying to reach Europe by sea.
Mr Bilongo said he had been born in France and the remark was "shameful".
MPs voted on Friday to suspend him and dock half his allowance.
The decision is described as the harshest sanction available to the Assembly.
Mr Bilongo had been questioning the government about a request by the SOS Méditerranée non-governmental organisation for help in finding a port for 234 migrants rescued at sea in recent days.
The exact meaning of the National Rally MP's remark is disputed, because theoretically he could have referred to more than one person. The official account of the session recorded his off-microphone remark as Qu'il retourne en Afrique - "he should go back to Africa" - but the plural Qu'ils retournent en Afrique sounds exactly the same.
When Mr de Fournas made his remark, the Speaker, Yaël Braun-Pivet, demanded to know who had spoken. Then, as MPs chanted "Out! Out! Out!", she suspended the session, declaring, "This is not possible."
Mr Bilongo, an MP from the the left-wing party France Unbowed (LFI), said: "Today it's come back to the colour of my skin. I was born in France, I am a French MP." Prime Minister Elisabeth Borne said there was "no room for racism" and Interior Minister Gérald Darmanin said the MP should resign.
Mr de Fournas was adamant he had been referring to the "boat transporting migrants to Europe", and party leader Marine Le Pen accused her political opponents of fabricating a vulgar outcry.
He later apologised to Mr Bilongo for "the misunderstanding" his comments had caused and if he had been hurt by them.
LFI leader Jean-Luc Mélenchon tweeted that the MP's comments were "beyond intolerable" and he should be kicked out of the National Assembly.
Immigration featured prominently in the RN's presidential and parliamentary election campaigns this year, with party leader Marine Le Pen proposing a referendum on major reductions in immigration if she became president.
In the parliamentary election in June, the party increased its presence in the National Assembly tenfold, winning 89 seats.
Source: BBC