Yote tisa lakini mbelgij anapigwa kipigo cha mbwa koko na france anaingia fainali kwa kishindo cha kuishtua milkway galaxy yote
Mziki wa mbape , gielzman na pogba unaujua mkuu??I bet france are going to be beaten by Belgium. ule mziki wa lukaku Harzard na debryne
Mziki wa mbape , gielzman na pogba unaujua mkuu??
Ntakukumbusha baada ya mechi leo usikuJombaa niamini mimi Ufaransa anakufa. wale wafaransa wabinafsi wabelgiji wanacheza kiteam sana any way mpira ni dakika tisini
Ntakukumbusha baada ya mechi leo usiku
NdioLukaku felaini wote waafrica hawa
Naaam jibu zuli sana hiloKwahiyo ndio timu pekee za Afrika zilizobaki worldcup 😀😀😀
Ah ah ah ah ahHawa wangekulia Afrika wangekuwa kama wewe mtoa mada!
NdiooFelaini ni shombeshombe wa kimanga
Ninavyosikia magu ni mrasiaHivi MAGU nae asili yake ni nchi gani?
Wengi wetu tuna roho mbaya sanaUchambuzi mzuri. ni dhahiri kuwa Afrika imefurika vipaji, tatizo tulilonalo ni kushindwa kuviendeleza. Wenzetu wameviendeleza na wanavitumia kwa manufaa yao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ufaransa out
Mpira ndiyo ulivyo ndugu bahati ilikuwa siyo yakwetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ENGLAND Amatoka mapemaaaaUFARANSA TENA FAINALI ,keshn england finali.