Mbona na si tuko juu ya hong kong kwa hiyo nasi ni king kongDa!. Wandugu, yaani Myanmar wapo juu yetu!
World cup huwa inawabeba kidogo maana hao Ned hata world cup hawakwendaNashaangaa sana Switzerland na Netherlands
Wap wanampira mzur naona n Netherlands
Lkn cjui n kigezo gan kinawapandisha
Switzerland juu ya Netherlands
Wanabebwa na Makao Makuu ya FIFAhuwa sioni mpira wa Switzerland lakini ajabu hawatoki top 10
Da!. Wandugu, yaani Myanmar wapo juu yetu!