Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shule za private nyingi wanataka credit tatu tu.tena mfano unasoma HGE hatakama una credit ya kiswahili,mathematics na geog alafu history una d unasoma tu ndugu.ila baadhi ya shule wanataka combination yako zisizidi point tisa.wana wa jamii forum naomba mnisaidie eti ukiwa na d kwenye combi unayotaka unaweza kwenda form 5 shule za private
je kama unataka kusoma pcb alafu una d ya chem. lakini b ya math na c ya phy na bio inakuaje hiyoshule za private nyingi wanataka credit tatu tu.tena mfano unasoma HGE hatakama una credit ya kiswahili,mathematics na geog alafu history una d unasoma tu ndugu.ila baadhi ya shule wanataka combination yako zisizidi point tisa.
Angalia website ya necta nadhani sasa form V ni credit tano.
kijana shule za private wanakuchukua kabisa yaani hapo mbona unachukuliwa,ilimradi tu credit nyingine yeyote uiongezee hapo ziwe tatu.hata kama una A mbili si kigezo ilimradi tu ziwe c tatuje kama unataka kusoma pcb alafu una d ya chem. lakini b ya math na c ya phy na bio inakuaje hiyo
hakuna cha credit tano ndugu.tangu sisi tunaingia advance watu tulitishwa kwamba bila credit tano huendi advance,ni uvumi tu huohaija andikwa
wana wa jamii forum naomba mnisaidie eti ukiwa na d kwenye combi unayotaka unaweza kwenda form 5 shule za private
nimewaelewa!
kwahiyo nikiwa nataka combi ya PCB nikiwa na d ya chemia haina shida cio.Ili u qualify kufanya mtihani wa necta wa ACSEE unahitaji kuwa na credit 3 tu haijalishi ni masomo gani hata ukiwa na C ya Civics,Biology, na Kiswahili na mengine yote ukalamba D au F bado una qualify kusoma advance japo kwa government utakosa sababu ya ushindani ila private utapata na utasoma combi uitakayo.
Ila hata uwe na A au B 2 alafu masomo mengine ukapata D au F hauta qualify kusoma advance coz utakuwa na credit mbili itakulazimu ukasome vyuo upate certificate uweze kuendelea na diploma.
je?, vipi kama nina credit 3 zilizobalance combination , na nikawa nina dv four let say,
serikali inaweza kunichukua?, kama wale waliofanya vz zd.
mwanangu ana division 3 ya point 29
civics b
history c
geography d
kiswahili c
english c
chemistry d
biology c
physics d
agriculture d
basic math d
he anaweza kuchaguliwa kwenda f5 na combination gani inamfaa.
Mwanangu ana division 3 ya point 29
Civics B
History C
Geography D
Kiswahili C
English C
Chemistry D
Biology C
Physics D
Agriculture D
Basic Math D
He anaweza kuchaguliwa kwenda F5 na combination gani inamfaa.
Mwanangu ana division 3 ya point 29
Civics B
History C
Geography D
Kiswahili C
English C
Chemistry D
Biology C
Physics D
Agriculture D
Basic Math D
He anaweza kuchaguliwa kwenda F5 na combination gani inamfaa.