ufaulu wa kwenda form 5

HGE ...!inaonekana hesabu ni tatizo kwake
but BAM anaweza akaimudu kidogo
Kweli ndio maana masomo ya sayansi yamemchenga lakini Geo ana D je haitakuwa kikwazo kwa HGE na kweli ningependa hiyo HGE
 
Unatafutwa na jamaa mmoja anaitwa Seneta001 ebu mtafute anasema anakujua vizuri mlisoma wote Kiluvya na siyo Mzumbe na pia ulisoma zile combi laini ambazo wewe unaita ni za kike plz Excel comrade wangu pitia hapa.

Ngoja waje
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…