Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nilisikia kupitia radio one leo asubuhi kuwa, takribani asilimia 70 ya watahiniwa wa kidato cha nne wamepata alama sifuri katika somo la Hesabu?
Kama ni kweli, nafikiri hakuna haja ya kutafuta Mchawi kwani tatizo liko wazi kabisa ambalo ni ukosefu wa Waalimu wenye sifa ya kufundisha somo la hisabati katika shule za Msingi (hata wakipeleka wenye Diploma huko msingi bila kuweka kigezo cha umahiri wa Hesabati haitasaidia) lakini pia kuna upungufu mkubwa wa waalimu wa Hesabu katika shule za sekondari. Sababu nyingine tofauti na ukosefu/upungufu wa waalimu adhari yake ni chini ya 10% hivyo sio za kipaumbele....
Naamini bila hisabati/hesabu, mambo mengi hayaendi hivyo ni vizuri tuwekeze huko bila kuchanganya na Siasa
Kama ni kweli, nafikiri hakuna haja ya kutafuta Mchawi kwani tatizo liko wazi kabisa ambalo ni ukosefu wa Waalimu wenye sifa ya kufundisha somo la hisabati katika shule za Msingi (hata wakipeleka wenye Diploma huko msingi bila kuweka kigezo cha umahiri wa Hesabati haitasaidia) lakini pia kuna upungufu mkubwa wa waalimu wa Hesabu katika shule za sekondari. Sababu nyingine tofauti na ukosefu/upungufu wa waalimu adhari yake ni chini ya 10% hivyo sio za kipaumbele....
Naamini bila hisabati/hesabu, mambo mengi hayaendi hivyo ni vizuri tuwekeze huko bila kuchanganya na Siasa