UFC special thread

UFC special thread

AKILI TATU

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
2,659
Reaction score
2,827
Wakuu karibuni katika special UFC thread ambapo hapa tutapeana udambwi udambwi wote wa MMA...

Africa huko tunawakilishwa na wengi wanaofanya vizuri mfano ni jamaa kutoka Nigeria anaitwa Israel Adesanya.
 
Kama kuna wafuatiliajeli wengine karibuni
 
Wwe pia Kuna Watu Wametoka UFC, Kama Ronda Rousey, Brock Lesnar
Ohhh UFC sio soccer Mzee...ni mchezo wa masumbwi..Kik boxing..na karate kwa ujumla wake..huu hakuna script kama mieleka ya WWE huu mtu unapigwa hadi unaomba poo
 
Kamaro Usman ndo balaa huyu manaigeria hana mchezo kabisa. Ngoja tusuburi Kati ya Jon Jones na Israel Adesanya kama ili pambano litatokea kweli.
 
Hii ndio REAL FIGHTING sasa sio yala maigizo ya WWE
 
Kamaro Usman ndo balaa huyu manaigeria hana mchezo kabisa. Ngoja tusuburi Kati ya Jon Jones na Israel Adesanya kama ili pambano litatokea kweli.
Dah nalingoja kwa hamu sana aisee..itakuwa bonge LA fight ..aisee
 
[emoji191]
trailblaze2top-20211104-0001.jpg
 
Israel Adesanya namkubali sana lakini jon jones ni mtambo ule
 
UFCVEGAS42 FIGHT NIGHT.

PRELIMS KICKKS OFF AT 2100 EAT.

THE MAIN CARD GET GOING AT 0000 EAT
ufc-20211113-0002.jpg
 
Ufc290
ufc-20230708-0007.jpg
mma_latinoamerica_-20230708-0001.jpg
ufc-20230708-0002.jpg
ufc-20230708-0001.jpg
ufc
 

Attachments

  • ufc-20230708-0002.jpg
    ufc-20230708-0002.jpg
    134.2 KB · Views: 3
  • mma_latinoamerica_-20230708-0001.jpg
    mma_latinoamerica_-20230708-0001.jpg
    181.4 KB · Views: 3
  • ufc-20230708-0007.jpg
    ufc-20230708-0007.jpg
    218.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom