Ufilipino: Takribani wafungwa 10,000 waachiwa huru

Ufilipino: Takribani wafungwa 10,000 waachiwa huru

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Katika juhudi za kupunguza maambukizi ya #CoronaVirus, nchi ya Ufilipino imeamua kuwaachia wafungwa karibia 10,000 ili kupunguza msongamano kwenye magereza

Awali Umoja wa Mataifa ulizitaka Serikali kuweka mikakati ya kuwalinda wafungwa na ulipendekeza wale wenye uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi ya #CoronaVirus waachiliwe ili kupunguza kujaa kwa Magereza kupita kiasi

Mzee wa baraza katika Mahakama Kuu ya ufilipino, Marvic Leone amesema, wataendelea kuangalia namna zaidi ya kupunguza idadi ya wafungwa magerezani kwa kipindi hiki cha janga la #CoronaVirus

Kauli hiyo imekuja baada ya Human Rights Watch kutaka idadi ya wanaokufa magerezani kwa #CoronaVirus kutangazwa. Moja ya Gereza nchini humo liliripoti maambukizi 212 ya #COVID19 kwa wafungwa

Ripoti zinasema kuwa, magereza yamekuwa ni maeneo hatari sana kwa kuenea kwa #CoronaVirus kutoka na wingi wa wafungwa waliomo katika magereza hayo

1588427473336.png

=====
An associate justice on the Philippine Supreme Court, Marvic Leonen, said on Saturday that nearly 10,000 prison inmates had been freed as part of efforts to stem the spread of the coronavirus.

Of the 9,731 inmates freed between March 1 and April 29, more than 2,000 were released from prisons in Manila, he said. Most of the rest, about 4,600, had been held elsewhere in Luzon, the region that includes the capital.

“We continue as much as we can to decongest the jails,” Justice Leonen said during an online news briefing.

Th announcement came days after Human Rights Watch called on the government to fully report deaths in its prisons from Covid-19, after at least nine inmates and nine staff members tested positive for the coronavirus at Quezon City Jail in the Manila area, one of the country’s most crowded prisons.

The Cebu Provincial Detention and Rehabilitation Center in the central Philippines also reported one death from the coronavirus this week, while the Cebu City Jail reported 212 infections.

Across the world, prisons have become breeding grounds for the coronavirus, leading governments to release hundreds of thousands of inmates in an attempt to curb the spread of the contagion behind bars.


NEW YORK TIMES
 
Back
Top Bottom