Ufisadi hadi kwenye kiswahili

Ufisadi hadi kwenye kiswahili

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,459
Reaction score
699
Mkurugenzi wa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar amesimamishwa uongozi wa ukurugenzi kwa tuhuma zenye harufu ya kifisadi na kutowajali waalimu wanaofundisha kiswahili katika taasisi hiyo. Jamani viongozi tuwajali wafanyakazi wetuuu!!!!
 
bongo kila kitu ufisadi. Hadi kwenye kununua kondomu yako mwenyewe
 
Back
Top Bottom