Ufisadi katika makampuni

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
JF imekuwa ni sauti na kelele zenye kuleta matunda hapa JF na kwa jamii kwa ujumla, ili kuweza kutokomeza hali ya ufisadi nchini wana JF wote tunaombwa kupiga kelele zetu hapa bila kuchoka. Bila shaka kuna tabia za kifisadi katika mashirika mbali mbali dhidi ya wafanyakazi tuyaweke hapa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…