UFISADI kwenye Balozi zetu nje

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
Tazama wanacvyofuja pesa za walipa kodi kuanzia ukurasa namba 62 ndani ya PDF document hii hapa:


http://nao.go.tz/files/SERIKALI KUU.pdf
 
GT,
Balozi zetu kazi zake kula hela, haswa anapokuja Mkulu, kwanza PCCB wakmaliza double payment ya wabunge, wabishe hodi Ikulu, msafara wote wa mkulu, husign posho kwa $$, wakifika huko hukuta Balozi kshalipa kila kitu, kula bure, kulala bure, sijui hizo posho zilikuwa za nini. Ben akija US kwa wa ziara, hoteli anayofikia hulipiwa two exra rooms za vijana wake wakiwa huko, hivyo vyumba vitalipiwa wakati wote, walale, wasilale alimuradi baba yupo.

Ili pia lazima tukubali baadhi ya balozi zinaingia matumizi ya ziada kutuhudumia sisi wabongo tunapokubwa na matatizo, kuna Mbongo alipata problem Italy, alicolapse from no where, jamaa was in comma, ubalozi ulimbail out kuanzia hospital billls mpaka kumpa chochote mpaka alipozinduka, na alisaidiwa mpaka aliporejea home. Huu ni mmoja wa mifano ambapo ubalozi umefanya matumizi mabaya kwa nia njema.
 

- Mkuu Pasco, heshima yako sana kwamba Ubalozi hulipia hao wakuu hizo dataz hazijakaa sawa, infact kwa uzoefu nilionapo na Ubalozi ninasema tena bila kufikiri mara mbili kwamba never happened!

- Seriously, mkuu hakuna ubalozi wowote wa Tanzania nje ulio na pesa zisizokuwa na sababu zinazoweza kusubiri kulipia viongozi wa kutoka Tanzania, muwalaumu kwa mengine lakini la matumizi ya pesa siku hizi simply ni kwamba haliwezekani,

- Siku hizi na ilianzia under Luhanjo akiwa katibu mkuu wa huko, hela za ubalozi haziwezi kutumiwa na ofisi bila makubaliano ya kamati maalum za ubalozi zinazowahusisha maofisa wote wa ofisi hizo, balozi hana ubavu tena kama zamani wa kuamua tu kuchoma hela za ofisi,

I mean mnyonge mnyongeni, lakini kwa hili mkuu ninasema msalieni mtume japo kidogo jamani!

Respect.


FMEs!
 


Kwa hili naungana nawe FMES maana kuna wakati wanagoja hata mishahara inachelewa . Tunaweza mwaga data zikitakiwa
 
Sasa huo ufujaji unatokana na nini?
 
GT umesahau za balozi za nchi za uarabuni,zinafuja hela kwa private issues including futari za ramadhani na eid
 

Utetezi wako kwa Balozi zetu ni mzuri, mimi nilidhani kueleza kuwa Wanabalozi wetu wanatumia hela za ubalozi kuwakirimu wakulu na kuwasaidia Wanugu wenzetu wanaofulia, pale mazingira yanaporuhusu, nikidhani huu ni utetezi safi wa kuhalalisha ulaji kumbe sivyo!,

Hii inamaana kuwa kwenye Balozi zetu nao wanavijiEPA vyao ili kutimiza lile neno kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake?
 
Mnakumbuka Pro Mahalu huko Italy,na mke wa Kitine matibabu yake ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…