UFISADI mkubwa jeshi la polisi.

UFISADI mkubwa jeshi la polisi.

NAMTUMBA

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,939
Reaction score
597
Naomba msaada wakisheria nataka kuliburuza jeshi la polisi Mahakamani.

1. Polisi ni wazushi wa matukio ya uongo. Mfano: Ugaidi wa Tanga.

2. Wanatumia mamilioni ya kodi za wananchi kutengeneza video za kizushi kwa manufaa ya mafisadi wachache ndani ya ccm. Mfano: video ya Rwakatare na video ya Ugaidi ya Bin Abdullah.

3. Matumizi mabaya ya Silaha. Sote tunafahamu kwamba silaha ni zagarama kubwa sana na serikali inanunua silaha kwa kodi za uma kwa lengo la kulinda raia na mali zao lakini Kwa muda mrefu jeshi la polisi limekuwa likitumia silaha ovyo ovyo paspo na ulazima hasa katika mikusanyiko halali ya wananchi name pengine kupelekea mauaji ya RAIA wasio na hatia. Mfano: Nyololo alipouawa Mwangosi, Mkusanyiko wa CUF Mbagala zakihemu.

4. Kuna kikundi maalumu cha vibaka na waporaji ndani ya jeshi la polisi ambalo linatumia pikipiki kuzunguka huku na kule kwa kisingizio cha kufanya doria wakati sikweli, hawa jamaa kwasasa wamejipa hatimiliki yakunyanyasa bodoboda na bajaji.
Sitetei bodaboda na bajaji lakini tatizo la kundi hili ni matumizi mabaya ya pikipiki za serikali na mafuta ya serikali kinyume na malengo yaliokusudiwa.

5. Kuna kundi la matapeli upande wa askari wa usalama barabarani ambao wanatumia vipima mwendokasi (speedometer a.k.a Torch). Hawa wanatapeli madereva wa magari tena wanauonevu sana. Lengo la vifaa hivi ilikuwa ni kudhibiti ajali lakini kwasasa ajali zimezidi kwasababu madereva wengi wanajaribu kufidia muda waliopotezewa na askari wa barabarani pindi wanapobambikwa kesi. Haya matumizi mabaya ya Mali za uma.

Kwa hayo maelezo machache hapo juu na mengine ambayo nitayasema mbele ya mahakama naomba msaada wakisheria nataka kulishataki jeshi la polisi mahakamani.

Ee Mungu ibariki TANZANIA.
 
namtumba wewe ni fisadi nambari moja ambaye umekurupuka na kulizushia tuhuma jeshi letu la polisi. inaelekea wewe ni mhalifu ambaye anatafuta kisingizio cha kukwepa mkono wa sheria. matukio ya kweli ya kigaidi wewe unayaita ya uongo labda utuambie kwamba wewe ndiye masterminder wa uongo huo. askari wetu wanauawa wanajeruhiwa wewe bado tu unayaita matukio ya kutunga. huo mkanda wa abdulla polisi wameonyeshwa na raia kama wewe mara unawageuzia kibao ati wao ndio walioandaa...bahati yako hutumii jina lako halisi la sivyo tungekushukia kama mwewe utusaidie inaelekea unazo taarifa nyingi zitakazotusaidia.
Naomba msaada wakisheria nataka kuliburuza jeshi la polisi Mahakamani.

1. Polisi ni wazushi wa matukio ya uongo. Mfano: Ugaidi wa Tanga.

2. Wanatumia mamilioni ya kodi za wananchi kutengeneza video za kizushi kwa manufaa ya mafisadi wachache ndani ya ccm. Mfano: video ya Rwakatare na video ya Ugaidi ya Bin Abdullah.

3. Matumizi mabaya ya Silaha. Sote tunafahamu kwamba silaha ni zagarama kubwa sana na serikali inanunua silaha kwa kodi za uma kwa lengo la kulinda raia na mali zao lakini Kwa muda mrefu jeshi la polisi limekuwa likitumia silaha ovyo ovyo paspo na ulazima hasa katika mikusanyiko halali ya wananchi name pengine kupelekea mauaji ya RAIA wasio na hatia. Mfano: Nyololo alipouawa Mwangosi, Mkusanyiko wa CUF Mbagala zakihemu.

4. Kuna kikundi maalumu cha vibaka na waporaji ndani ya jeshi la polisi ambalo linatumia pikipiki kuzunguka huku na kule kwa kisingizio cha kufanya doria wakati sikweli, hawa jamaa kwasasa wamejipa hatimiliki yakunyanyasa bodoboda na bajaji.
Sitetei bodaboda na bajaji lakini tatizo la kundi hili ni matumizi mabaya ya pikipiki za serikali na mafuta ya serikali kinyume na malengo yaliokusudiwa.

5. Kuna kundi la matapeli upande wa askari wa usalama barabarani ambao wanatumia vipima mwendokasi (speedometer a.k.a Torch). Hawa wanatapeli madereva wa magari tena wanauonevu sana. Lengo la vifaa hivi ilikuwa ni kudhibiti ajali lakini kwasasa ajali zimezidi kwasababu madereva wengi wanajaribu kufidia muda waliopotezewa na askari wa barabarani pindi wanapobambikwa kesi. Haya matumizi mabaya ya Mali za uma.

Kwa hayo maelezo machache hapo juu na mengine ambayo nitayasema mbele ya mahakama naomba msaada wakisheria nataka kulishataki jeshi la polisi mahakamani.

Ee Mungu ibariki TANZANIA.
 
namtumba wewe ni fisadi nambari moja ambaye umekurupuka na kulizushia tuhuma jeshi letu la polisi. inaelekea wewe ni mhalifu ambaye anatafuta kisingizio cha kukwepa mkono wa sheria. matukio ya kweli ya kigaidi wewe unayaita ya uongo labda utuambie kwamba wewe ndiye masterminder wa uongo huo. askari wetu wanauawa wanajeruhiwa wewe bado tu unayaita matukio ya kutunga. huo mkanda wa abdulla polisi wameonyeshwa na raia kama wewe mara unawageuzia kibao ati wao ndio walioandaa...bahati yako hutumii jina lako halisi la sivyo tungekushukia kama mwewe utusaidie inaelekea unazo taarifa nyingi zitakazotusaidia.
1.Kanusha hayo madai yangu.
2.Thibitisha ufisadi Wang.
3.Tuambie Global Online TV alietengeneza hizo video za Rwakatare, Hiyo Bin Abdullah na ile ya vijana wawili wa tanga wanaotishia uma why yeye kila vidio.
 
1.Kanusha hayo madai yangu.
2.Thibitisha ufisadi Wang.
3.Tuambie Global Online TV alietengeneza hizo video za Rwakatare, Hiyo Bin Abdullah na ile ya vijana wawili wa tanga wanaotishia uma why yeye kila vidio.
NAMTUMBA post yako ni nzuri na ulichoongea ndio uhalisia hao watakaokuja kuku challenge ni wahuni na makuwadi wa chama chawala na taasisi zake
 
Last edited by a moderator:
Naomba msaada wakisheria nataka kuliburuza jeshi la polisi Mahakamani.

1. Polisi ni wazushi wa matukio ya uongo. Mfano: Ugaidi wa Tanga.

2. Wanatumia mamilioni ya kodi za wananchi kutengeneza video za kizushi kwa manufaa ya mafisadi wachache ndani ya ccm. Mfano: video ya Rwakatare na video ya Ugaidi ya Bin Abdullah.

3. Matumizi mabaya ya Silaha. Sote tunafahamu kwamba silaha ni zagarama kubwa sana na serikali inanunua silaha kwa kodi za uma kwa lengo la kulinda raia na mali zao lakini Kwa muda mrefu jeshi la polisi limekuwa likitumia silaha ovyo ovyo paspo na ulazima hasa katika mikusanyiko halali ya wananchi name pengine kupelekea mauaji ya RAIA wasio na hatia. Mfano: Nyololo alipouawa Mwangosi, Mkusanyiko wa CUF Mbagala zakihemu.

4. Kuna kikundi maalumu cha vibaka na waporaji ndani ya jeshi la polisi ambalo linatumia pikipiki kuzunguka huku na kule kwa kisingizio cha kufanya doria wakati sikweli, hawa jamaa kwasasa wamejipa hatimiliki yakunyanyasa bodoboda na bajaji.
Sitetei bodaboda na bajaji lakini tatizo la kundi hili ni matumizi mabaya ya pikipiki za serikali na mafuta ya serikali kinyume na malengo yaliokusudiwa.

5. Kuna kundi la matapeli upande wa askari wa usalama barabarani ambao wanatumia vipima mwendokasi (speedometer a.k.a Torch). Hawa wanatapeli madereva wa magari tena wanauonevu sana. Lengo la vifaa hivi ilikuwa ni kudhibiti ajali lakini kwasasa ajali zimezidi kwasababu madereva wengi wanajaribu kufidia muda waliopotezewa na askari wa barabarani pindi wanapobambikwa kesi. Haya matumizi mabaya ya Mali za uma.

Kwa hayo maelezo machache hapo juu na mengine ambayo nitayasema mbele ya mahakama naomba msaada wakisheria nataka kulishataki jeshi la polisi mahakamani.

Ee Mungu ibariki TANZANIA.
Mkuu wewe akili yako ndogo sana huwezi kutunga uongo kama huu ukategemea kunamtu utamkamatisha hayupo labda mkeo tu.
 
1.Kanusha hayo madai yangu.
2.Thibitisha ufisadi Wang.
3.Tuambie Global Online TV alietengeneza hizo video za Rwakatare, Hiyo Bin Abdullah na ile ya vijana wawili wa tanga wanaotishia uma why yeye kila vidio.
Hujui kuwa mtu akianza kukanusha ujinga na yeye atakuwa mjinga kikubwa wewe tukuache na ujinga wako.
 
NAMTUMBA post yako ni nzuri na ulichoongea ndio uhalisia hao watakaokuja kuku challenge ni wahuni na makuwadi wa chama chawala na taasisi zake
Wanataka;
1.Kuvuruga uboreshaji wa daftari la wapiga kura.
2.Tusahau Escrow
3.Kuvuruga kura za maoni.
4.Kuvuruga Uchaguzi mkuu
5.Kuvuruga amani ya Nchi.

Wenye upeo tumewagindua mbinu zao za Pan I.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wewe akili yako ndogo sana huwezi kutunga uongo kama huu ukategemea kunamtu utamkamatisha hayupo labda mkeo tu.
Kwa nini umeweka mke wake.kweli wewe shoga wa lumumba.

swissme
 
Hujui kuwa mtu akianza kukanusha ujinga na yeye atakuwa mjinga kikubwa wewe tukuache na ujinga wako.

Eti munasema JWTZ wamelipua pango kwa Mizinga lakini magaidi wote wametoroka na hakuna aliekamatwa. Hivi polisi wamefilisika akili kiasi hiki!!!' Uongo huu hata panzi hawezi kukubali.
 
Mkuu wewe akili yako ndogo sana huwezi kutunga uongo kama huu ukategemea kunamtu utamkamatisha hayupo labda mkeo tu.

Akili yako ya Division 5 huwezi kuchangia chochote hapa, kaa kimya kama unawashwa jiingize ndizi kwenye hilo tundu la samadi.
 
Eti munasema JWTZ wamelipua pango kwa Mizinga lakini magaidi wote wametoroka na hakuna aliekamatwa. Hivi polisi wamefilisika akili kiasi hiki!!!' Uongo huu hata panzi hawezi kukubali.

Jamani hivi watu wanayafahamu mapango ya Amboni au wanayasikia?
 
Eti munasema JWTZ wamelipua pango kwa Mizinga lakini magaidi wote wametoroka na hakuna aliekamatwa. Hivi polisi wamefilisika akili kiasi hiki!!!' Uongo huu hata panzi hawezi kukubali.

Hivi kuna ukweli wowote kuhusu JKM(jeshi la kuzuia maandamano) au ndo porojo tu kwa kwenda mbele?.
 
Back
Top Bottom