Ufisadi mradi wa NSSF Dege, Kigamboni

Ufisadi mradi wa NSSF Dege, Kigamboni

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Serikali imetangaza kuuza mradi wa ujenzi wa Dege, Kigamboni uliokuwa chini ya NSSF kutokana na kushindwa kuuendeleza.

Ujenzi wa mradi huo ulianza 2014 na Mwaka 2016 Serikali ya Awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli iliusimamisha baada ya kubaini kuwa kuna ufisadi mkubwa.

Cha kushangaza CCM na Serikali yake badala ya Kuwakamata na Kuwashtaki wale wote walioufanya huo ufisadi wapo kimya kama vile hakukuwa na ufisadi wowote.

Fedha ziliibiwa ni michango ya maskini wafanyakazi wenye Mishahara midogo.

Tunaishauri Serikali iwachukulie hatua za kisheria wale wote waliohusika na ufisadi huo wa bil 179, ni aibu kwa CCM na serikali.
JamiiForums-1645385910.jpg
JamiiForums-1634950794.jpg
 
Ina maana ulikuwa hujaona huu Uzi humu na umeshajadiliwa kwa kirefu?!
Ujinga mwingine unachosha watu!
Come up with something new and tangible siyo copy and paste!
 
Hii nchi tunapeana habari za kutishana tuuuuu.

Halafu hakuna hatua zinazochukuliwa wala faida inayopatikana kupitia habari hizi.

Bongo bahati mbaya, bora kuzaliwa mbwa Ulaya !
 
Serikali imetangaza kuuza mradi wa ujenzi wa Dege, Kigamboni uliokuwa chini ya NSSF kutokana na kushindwa kuuendeleza.

Ujenzi wa mradi huo ulianza 2014 na Mwaka 2016 Serikali ya Awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli iliusimamisha baada ya kubaini kuwa kuna ufisadi mkubwa.

Cha kushangaza CCM na Serikali yake badala ya Kuwakamata na Kuwashtaki wale wote walioufanya huo ufisadi wapo kimya kama vile hakukuwa na ufisadi wowote.

Fedha ziliibiwa ni michango ya maskini wafanyakazi wenye Mishahara midogo.

Tunaishauri Serikali iwachukulie hatua za kisheria wale wote waliohusika na ufisadi huo wa bil 179, ni aibu kwa CCM na serikali.View attachment 2400035View attachment 2400036
Ngoma ishauzwa hii na kianzio kimeshalipwa. Save this post
 
Serikali imetangaza kuuza mradi wa ujenzi wa Dege, Kigamboni uliokuwa chini ya NSSF kutokana na kushindwa kuuendeleza.

Ujenzi wa mradi huo ulianza 2014 na Mwaka 2016 Serikali ya Awamu ya 5 chini ya Rais Magufuli iliusimamisha baada ya kubaini kuwa kuna ufisadi mkubwa.

Cha kushangaza CCM na Serikali yake badala ya Kuwakamata na Kuwashtaki wale wote walioufanya huo ufisadi wapo kimya kama vile hakukuwa na ufisadi wowote.

Fedha ziliibiwa ni michango ya maskini wafanyakazi wenye Mishahara midogo.

Tunaishauri Serikali iwachukulie hatua za kisheria wale wote waliohusika na ufisadi huo wa bil 179, ni aibu kwa CCM na serikali.View attachment 2400035View attachment 2400036
Wew unaishauri serikali wakati serikali ilibaini hilo tangu miaka hiyo ya 2016 na no action, haya yanayojitokeza sasa ya kina cha maji kupungua na adha nyingine ni matokeo ya madhambi yanayofanya na mikono ya watu dhidi ya walio safi hivyo ufisadi pamoja na madhambi vikipungua ndipo Mungu atashusha neema zake kwetu

Ogopa dua ya mwenye kudhulumiwa ni mbaya sana
 
Tangu lini uibe jasho la mtu kufanyia mambo yako na hayo mambo yako yakaenda, NEVER..watahangaika sana tu na hakuna kitakachoendelea hapo
 
Ina maana ulikuwa hujaona huu Uzi humu na umeshajadiliwa kwa kirefu?!
Ujinga mwingine unachosha watu!
Come up with something new and tangible siyo copy and paste!
Kwani kurudia kujadili ni KOSA?Usitupangie kama mlijadili Acha na wengine Wajadali
 
Kati ya miradi ambayo mimi niliwahi kuipenda sana ni huu. Mimi ninadhani bila kujali kuna nini kilikuja kufanyika baadaye kwenye mradi huo, bado Hayati JPM alishauriwa vibaya kwenye mradi huu. Kama JPM angeshauriwa vizuri kwenye mradi huu. ungeweza kukamilika ndani ya kipidi cha kwanza tu cha JPM; na hicho ndicho baadhi yetu walikuwa hawataki kuona kinatokea

JK alikuwa yuko sahihi sana kuanzisha mradi huo na aliuanzisha akiwa na nia njema sana kwa waTanzania.

Always mimi huwa najaribu kuvitafuta vitu ambavyo JK aliwahi kuanzisha tuseme labda akiwa na nia ambayo iilikuwa iko divided; NINAVIKOSA. Huwa sivipati. Always ni sisi ambao tumekuwa tukiharibu vizuri vya JK. Mungu atampigania lakini; Mungu atamigania JK
 
Kati ya miradi ambayo mimi niliwahi kuipenda sana ni huu. Mimi ninadhani bila kujali kuna nini kilikuja kufanyika baadaye kwenye mradi huo, bado Hayati JPM alishauriwa vibaya kwenye mradi huu. Kama JPM angeshauriwa vizuri kwenye mradi huu. ungeweza kukamilika ndani ya kipidi cha kwanza tu cha JPM; na hicho ndicho baadhi yetu walikuwa hawataki kuona kinatokea

JK alikuwa yuko sahihi sana kuanzisha mradi huo na aliuanzisha akiwa na nia njema sana kwa waTanzania.

Always mimi huwa najaribu kuvitafuta vitu ambavyo JK aliwahi kuanzisha tuseme labda akiwa na nia ambayo iilikuwa iko divided; NINAVIKOSA. Huwa sivipati. Always ni sisi ambao tumekuwa tukiharibu vizuri vya JK. Mungu atampigania lakini; Mungu atamigania JK
Ukiachilia mbali kuwa fedha iliyotumika ni nyingi kuliko dhamani halisi; mradi ule hauna maana yoyote in an African or Tanzanian context. Ukitazama ukubwa wa vyumba, hakuna mtanzania anayeweza kutamani kuishi humo. Majengo yale yangeweza kuwa na maana iwapo yangejengwa buguruni, ana tandale, ama tandika na nyumba zikagawiwa kwa watu
 
Back
Top Bottom