Ufisadi na rushwa zitungiwe ibara kwenye katiba mpya

Ufisadi na rushwa zitungiwe ibara kwenye katiba mpya

YUDITHA

Senior Member
Joined
May 5, 2013
Posts
154
Reaction score
28
hata kama tukawa na katiba nzuri kama bibilia na kurani . tukawa na sera na mipango mizuri ya kimaendeleo ni kazi bure kama katiba isiposema wale wote watakao dhibitishwa na vyombo husika vya dola wanyongwe hadharani. halikadhalika waingizaji wa madawa ya kulevya na mabosi wao
 
Back
Top Bottom