DOKEZO Ufisadi Nane Nane 2024 - Mamlaka husika zichunguze mchakato mzima

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimeshtushwa sana khaaa
 
Wajinga Fulani wanasema twendeni na mama. Tunaenda wapi !
Fedha zinazokusanywa ni kidogo kuliko zinazoubiwa
Jina la Rais linatumika KUPIGA.

Kuna upigaji uliokubuhu. Tunakusanya evidence; mwisho wao uko karibu
 
Nchi ya Tanzania ina laana sielewi ni kwanini ninyi bado mpo Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…