Ufisadi unaanziaga mbali hivi..!

Ufisadi unaanziaga mbali hivi..!

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Mpiga picha :mwalimu mkuu, ntakuchaji shilingi 500 kwa kila mwanafunzi kwa ajili ya passport size..

Mwalimu mkuu :mwalimu waambie wanafunzi walete shilingi 1000 kwa kila mwanafunzi kwa ajili ya passport size..

Mwalimu :wanafunzi mnatakiwa kuleta shilingi 2000 kila mmoja kwa ajili ya passport size..

Nyumbani kwao mwanafunzi sasa..:Mama tumeambiwa tupeleke shilingi 2500 shuleni kwa ajili ya passport size...!

Mama :Mume wangu mtoto anataka shilingi 3000 kwa ajili ya zile passport size shuleni..

Kwa Hali hii unadhani ufisadi utaisha..?

Kati ya hao nani fisadi kuu ??
 
Mpiga picha :mwalimu mkuu, ntakuchaji shilingi 500 kwa kila mwanafunzi kwa ajili ya passport size..

Mwalimu mkuu :mwalimu waambie wanafunzi walete shilingi 1000 kwa kila mwanafunzi kwa ajili ya passport size..

Mwalimu :wanafunzi mnatakiwa kuleta shilingi 2000 kila mmoja kwa ajili ya passport size..

Nyumbani kwao mwanafunzi sasa..:Mama tumeambiwa tupeleke shilingi 2500 shuleni kwa ajili ya passport size...!

Mama :Mume wangu mtoto anataka shilingi 3000 kwa ajili ya zile passport size shuleni..

Kwa Hali hii unadhani ufisadi utaisha..?

Kati ya hao nani fisadi kuu ??
Kwa akili za waafrika hata mimi nikiwa kiongozi lazima niwe fisadi nyangumi
 
Back
Top Bottom